single mother

A single parent is a person who lives with a child or children and who does not have a spouse or live-in partner. Reasons for becoming a single parent include divorce, break-up, abandonment, death of the other parent, childbirth by a single person or single-person adoption. A single parent family is a family with children that is headed by a single parent.

View More On Wikipedia.org
  1. Leo nimekutana na single mother wa miaka 20

    Kwa kweli nimesikitika sana Nimekutana na huyu mama akiwa na mtoto wake wa miaka sita akiwa anampeleka shule😭😭 Mwanaume aliyembaka alishakimbia kitambo sana (nimetumia rape nikiwa na maana huwezi kufanya sex na binti wa miaka 14 mkiwa wote mentally fit.. Huo ni ubakaji) Ndio hivyo sasa..😭😭
  2. K

    Nimetokea kumpenda sana single mother yaani nipo njia panda

    Mimi sio mtu ninaependa hovyo. Ninatabia ya kuwaelewa wanawake fulani wenye nyota ya mvuto. Yaani kuna wanawake unakuta wanaume wamejipanga wote wanamfukuzia. Sasa huyu single mama anashida kwenye mahusiano na hataki kusikia harufu ya usumbufu. Mimi nae tunalonga vzr. Nimeanza kumwambia kwa...
  3. Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

    WanaJF Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia. Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya. Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya...
  4. Pongezi kwenu Single Mothers

    Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me. One of my ex is a single mother. She has one lovely boy! From what i see her go through, my admiration and respect for her goes higher each day. Single...
  5. Kuweni makini na single mothers, ni hatari. Nimenusurika kutoka katika mdomo wa mamba

    Wakuu habari. Huu ni muendelezo wa kile nilichowaambia kinaitwa (Blackmail) Mtaani ninapoishi - huwa nina utamaduni wa kununua vitu vingi vinavyohusu Chakula na kuweka Ndani. Kikawaida Mimi sio mtu wa Ku pika Sana maana familia yangu inaishi nje Watoto na Mama yao labda wakati wa likizo...
  6. Juliana shonza; Waambie wanawake wenzako kama hawawezi kuhudumia watoto wao wawapeleke kwa Baba Zao full stop na sio hizo ngonjera ulizotoa

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Juliana Shonza lazima uelewe hakuna Baba asiyeweza kutunza Mtoto wake. Huyo Baba hayupo. Kama wanawake wametelekezwa kwa Sababu zozote zile kama hizo ulizotaja ikiwemo jeuri na kiburi Acha wapambane na Hali Zao. Sisi wanaume hatuwezi kutoa pesa na kutunza...
  7. Naomba kujua Faida na Hasara za Mwanaume Kuoa Mwanamke mwenye ama Mtoto Mmoja tu au Watoto Wawili

    Kuna jibu moja nalisubiri Kuliona hapa ili nami niamue kufanya Maamuzi ya Kishalubela (Kikatili) au ya Kiimani (Kiupendo)
  8. Siku nne baada ya kumtongoza single mother nimeombwa 10k ya mchezo

    Bhana uku na uku uku na kule nikajuana na single mama mmoja mzuri sana sura trakon πŸ‘ yaani yupo kamili kweli Kijana nikatema vocals nikakaziwa nikawa na force nikimsisitizia kuwa Mimi nimemuelewa sana Akiwa anakaza Leo jioni nikachekiwa jioni nikachekiwa sorry nimetoka kanisani "Nina shida...
  9. Aliezaa na miaka 30 na kuendelea, msimuite single mother, hakutaka kukosa yote.

    Sasa mtu ukute amesoma, ila ajira hana, mume wa kumuoa hana, anafika miaka 30, window ya kupata kupata ujauzito inazidi kushuka, mnataka afanye nini? Kuliko kukosa vyote anaamua japo apate faraja ya mtoto. Msiwasakame sana hawa waliozaa kuanzia 30 na kuendela, wamejifanyia uokozi. Sitetei...
  10. M

    Single mother (Hamisa Mobeto) kaolewa kwa kishindo. Hili huenda likafufua matumaini ya wengine huku mitaani

    Ndoa ya Aziz k na hamisa mobeto ni alama na mfano wa kuigwa kwa sababu 1. Hakuna mwanaume mwenye utimamu wa akili na mwili anaweza badili Imani yake ya dini , mahusiano yake na MUNGU kwa sababu ya mwanamke, lakini Aziz k amefanya 2. Hakuna mwanaume ambaye ana akili zake sawa anaweza chukua...
  11. T

    Kuwa single mama sio ticket ya kukata tamaa

    Hamisa Mobeto amewapa heshima kubwa mno single mothers wote, jana amelipiwa mahari milioni 30 na ng'ombe 30. Hii ina maana watoto wake wa nje hawajawa sababu ya kushusha thamani yake, amewazidi wengi walioolewa wakiwa sio single mothers. Hii inatoa tafsiri kwamba thamani ya mwanamke bado inabaki...
  12. Faida 10 za kuoa mwanamke mwenye mtoto (single mother)

    π—™π—”π—œπ——π—” 𝗭𝗔 π—žπ—¨π—’π—” 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π— π—žπ—˜ 𝗠π—ͺπ—˜π—‘π—¬π—˜ 𝗠𝗧𝗒𝗧𝗒 1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto). 2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea. 3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuushi na mwanaume...
  13. Nasisitiza, kijana kama upo chini Miaka 40 usioe Single mother. Hilo huhitaji mjadala

    Kwema Wakuu! Nafahamu Nina rafiki zangu wakike waliosingle mothers. Ninajua wapo dada zangu wakike single mother Na ninajua wapo watoto wakike huenda wakawa single mother. Lakini hii haitanifanya nisiseme Jambo hili. Kama Una Miaka chini ya arobaini yaani ni kijana. Mimi kama Taikon Master, na...
  14. Nimezama kwenye penzi la single mother ila naogopa

    Wakuu salama salama.. Wakuu mpaka sasa nimekua naogopa mno maana nimejikuta natumia mda mwingi kuwaza kuhusu hili penzi la single mom mmoja hapa mtaa wa kati. Huyu binti ukimuona uwezi amini kama ni single mather wakuu kuna watu wana miili ya kitoto. Nachoogopa ni kuwa mara nyingi anaongelea...
  15. Ukitaka kukosana na Mama yako na shangazi zako jaribu kuoa single mother utajua haujui.

    Wamama na shangazi ukitaka wakutamkie kila Aina ya laana jaribu kuoa au kuwa na mahusiano na Single-Mother.
  16. Bora kuoa single mother

    Wakulu Nyie ambao mko na interest ya kuoa ni Bora kuoa single mother kuliko Hawa ambao Bado hawana watoto au mtoto hata mmjo.. Kuoa single mother inakupa uhakika kuwa shamba mbalo unaenda kupanda mbegu Lina rutuba ya kutosha Kwa kuzalisha mazao nadhani hapo tumeelewana, maana tofauti na hiyo...
  17. Kwa sasa kumtetea Rais MAGUFULI (RIP) ni ngumu sana sawa na kuwatetea Single mother kulivyo na ugumu

    Mimi nilikuwa na mkubali sana jpm kwa 90% katika utendaji wake wote na hata kifo chake kinaniuma hadi leo. Mimi sio mtu wa siasa za hapa Tz Maana naona kabisa hii nchi hakuna chama cha upinzani kilicho serious. Siku mbili hizi Tangu kitabu cha kabendera kiachiwe naona jpm kafukuliwa huko aliko...
  18. Nahitaji single mother

    NAMTAKA SINGO MAZA 1 Nimehangaika sana, kuyatafuta mapenzi Niliowapa amana, hata hawakuienzi Nikapigwa dana dana, na kufanyiwa ushenzi Namtaka singo maza, ndie nitayemuoa 2 Aloumizwa ja mimi, huenda tukalandana Hatusikizi akwami, wawili tukipendana Tukuze wetu uchumi, mawazo kuliwazana...
  19. Mwanamke Masikini, Mama Pendo (Single Mother wa Watoto Wawili) wa Tageta Machinjioni anavunjiwa Banda lake Saa Hii: Tumsaidie Mamlaka kuingilia kati

    Wanabodi Nimepigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Mama Pendo akiomba msaada wa haraka,anavunjiwa kibanda chake cha kuishi eneo la Tageta Machinjioni。 Anaomba media tupaze sauti wenye mamlaka wasikie wamsaidie kumnusuru。 Please tumsaidie huyu Mtanzania mwenzetu ambaye ni masikini...
  20. Tanzania: Maeneo ya Vyuo vya Elimu ya Juu na Changamoto za Mama Wanaolea Watoto Pekee( Single Mother)

    Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imeona kuongezeka kwa idadi ya wanawake ambao ni mama wanaolea watoto pekee( Single Mother). Hali hii inaathiri jamii kwa namna nyingi, ikiwa ni pamoja na kiuchumi, kijamii, na kiutamaduni. Katika makala hii, tutajadili chanzo na sababu za ongezeko hili...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…