siri nzito

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pasta Joshua

    Siri nzito kuhusu unyayo wako hapa ukiweza tu basi unafanikiwa hakika ni muujiza

    Siri nzito kuhusu unyayo wako hapa ukiweza tu basi unafanikiwa hakika ni muujiza Mwanadamu ni kiumbe mwenye siri nyingi na ambaye pia ameumbwa na siri nyingi Unyayo wa mwanadamu ni waya wa kiroho unaobeba fadhila za dunia na kuziingiza ndani yetu kimwili na kiroho. Kumbuka unyayo ni sehemu ya...
  2. Mshangazi dot com

    Siri ambayo inanifanya nijihisi mzito na kubaki njia panda

    Umeshawahi kuambiwa au kusikia siri ambayo endapo ingetoka nje au kujulikana na wahusika ingevuruga au kuharibu kabisa maisha yao? Mimi nitashare yangu ambayo inaniweka mimi na ndugu zangu kwenye wakati mgumu. Iko hivi: Binamu yangu ana familia ya siri na anasubiria mke wake afe ili aanze...
  3. Rula ya Mafisadi

    Afisa wa Makao makuu CHADEMA atoa siri nzito za J.Mnyika na F.Mbowe kumbe CHADEMA kushika dola chini ya Mbowe ni ndoto

    Anaandika Remigius Celestine Mjumbe wa Secretarieti CHADEMA Makao Makuu. === Mjumbe Baraza Kuu, Mkutano Mkuu na wanachama wote nawasalimu kwa salaamu ya Chama. Bila kukupotezea Muda naomba kukushirikisha kauli nzito na muhimu kwa wakati huu iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chama Taifa. Ilikuwa...
  4. B M F ICONIC

    Siri nzito za biashara hutokaa uambiwe

    Kweli kila mwenye mafanikio ana siri yake. Wale wa ' niache ajira niingie kwenye biashara' mtayaweza haya ILe tamaa ya kumuona mbona fulani anauza kuliko mimi" hujui siri ya mafanikio yake. Mtazamaji kula chuma hicho Ndo maana nikienda dukani najikuta na nunua hata vitu ambavyo...
  5. dosho12

    Ni nini siri nzito iliyopo kweye bara la Antarctica

    Bara la Antarctica ni sehemu ambayo tumezoea kuambiwa ni eneo lilojaa barafu likiwa na viumbe waishio kwenye barafu tu ila hivi karibuni watu wamejawa na maswali na shauku ya kuwa hivi ni kweli hii eneo lina barafu na hao viumbe tu na hakuna kitu kingine kilichojificha, viasharia vinaanza...
  6. J

    SI KWELI Odemba apokea fungu la fedha kuichafua CCM

    UOVU WA ODEMBA WAMBAINIKA! Anatumika na Ubalozi wa Marekani nchini kutaka kuchafua taswira ya Viongozi wa CCM. Odemba ameweka mapenzi ya upinzani mbele kuliko kazi yake! Wachambuzi wadai odemba anapaswa kuomba radhi kwa jamii kutokana na uongo aliozusha juu ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa Balozi...
  7. trojan92

    Mteja wa ajabu mwenye siri nzito

    Hadithi ya kuvutia sana. Soma mpaka mwisho, utajifunza kutunza siri. Siku moja Mwanaume mmoja mtanashati sana aliingia hotelini na akaomba kumuona bosi. Bosi alipokuja, hadithi ikaanza. Mteja: Je, chumba namba 39 kiko wazi? Bosi: Ndiyo, bwana. Mteja: Naweza kukiomba? Bosi: Bila shaka unaweza...
  8. Mhaya

    Siri nzito za Dunia zinamilikiwa na watu wachache sana

    Hapa ngoja nizungumze kitu kimoja, muone jinsi dunia ilivyo. Hii dunia ina watawala wake ambao kimsingi si wale wanaomuabudu Mungu, kuna mambo mengi wanataka kuyaficha, hawataki wewe uyajue hata kidogo. Yaani kuna taarifa hutakiwi kuwa nazo. Hata hapa Tanzania hii ipo, yaani kuna taarifa ambazo...
  9. figganigga

    Siri nzito mikataba gesi asilia Tanzania

    Na Mwandishi Wetu NI ukweli usiopingika kwamba majadiliano ya mikataba, hasa ya mafuta, gesi, madini na maliasilia nyingine za nchi huchukua muda mrefu kukamilika. Hili ni jambo la kawaida hasa kwa Serikali ambayo ni makini na inayobeba jukumu la kulinda utajiri na maliasilia za nchi...
  10. FaizaFoxy

    Siri nzito ya NATO imevuja; Kigogo wa NATO asilimu

    Wakati huu, Siri ya Kigogo wa NATO kua Muislam ipo wazi na sio siri tena. Mkurugenzi wa Habari wa NATO, Dk Murad Wilfried Hofmann. Dr Hoffman, aliukubali Uislamu na kutamka shahada katika Kituo cha Kiislamu cha Colonia kinachoongozwa na Imam Muhammad Ahmad Rasoul. Alizaliwa katika familia ya...
  11. Nyafwili

    Ukijifunza kwa waliofanikiwa, hawawezi kukupa njia za mafanikio

    Habari wana JamiiForums, poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝 Imekuwa kawaida sasa kwa watu waliofanikiwa kiuchumi kubaki na siri zao namna walivyo ukimbia ukata, kila Tajiri utakaye muuliza kuhusu mafanikio yake lazima atakuambia: • Nilianza kuuza karanga za kupima. • Nilianza kushona viatu...
  12. B

    Kwenye Mjadala wa Vita Ya Israeli na Palestina( Hamasi) Mh Tundu Lissu hana Mpinzani. Ameibua Hoja nzito na siri Nzito iliyofichwa kwa Miaka 2000

    Habari za Mida hii Wana Jamii Forum Declaration of Interest Mimi ni Mkristo Mkatoliki Nimetembelea Nchi ya Israel ktk majimbo ya Jerusalem, Galilaya na Samaria Ni Mfuasi wa siasa za kutetea haki, amani na Maendeleo jumuishi Katika Pita pita Zangu Mitandaoni nikakutana na Video Clip akiwa...
  13. Erythrocyte

    Siri nzito Kamati Kuu ya CHADEMA ikikutana zaanza kuvuja

    Kama tulivyosema hapo awali, kishindo cha Kamati kuu ya CHADEMA, afadhali hata ukutane na tetemeko la ardhi. Japo ukimya umetanda lakini cheche zake zimeanza kubabua baadhi ya watu. Usithubutu kuondoka JF kuanzia muda huu ili usipitwe na jambo zito!
  14. J

    Mwanasheria wa Wizara afichua siri nzito mkataba wa bandari

    Mwanasheria wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mohamed Salum amesema mkataba baada ya kusainiwa Oktoba 25, 2022 ulipelekwa Bungeni Februari 2023 kwa ajili ya hatua za uridhiwaji ambapo alisisitiza kuwa kabla ya Azimio halijapelekwa Bungeni lilipitiwa na Mfumo mzima wa Serikali ambao ni...
  15. The Burning Spear

    Siri nzito yafichuka upungufu wa maji Ona hii.

    Afu tunasema kuna usalama wa Taifa au wa chadema Mpaka ukuta huu unaisha serikali ipo wapi? Kuna maeneo lukuki Hali Ipo hivi hivi afu mnasingizia ng'ombe wamekuwa wengi. Serikali ya mama ni dhaifu kweli kweli msitufanye watoto wadogo.
  16. BARD AI

    Mbunge aliyefukuzwa CHADEMA aomba ulinzi wa Mahakama, adai ana siri nzito

    Grace Tendega ambaye ni kati ya Wabunge 19 waliovuliwa Uanachama na chama hicho alitoa ombi hilo mbele ya Jaji Cyprian Mkeha ambaye alimjibu kuwa anatakiwa kujibu maswali kama anavyoulizwa na sio nje ya hapo. Wabunge hao walifika Mahakamani kuhojiwa kuhusu ushahidi wa Malalamiko ya Viapo baada...
  17. Vontec

    Siri nzito sakata la Okrah na Dejan ndani ya Simba

    Anaandika Shaffi Dauda Simba kuna vitu havipo sawa, lakini ni zile zile stori za kuvalishana suti kwenye vumbi au kuifunga Bugati injini ya bajaj ila haibadili kuwa kuna mengi hayapo sawa. Tazama vyema hii clip, tazama namna Dejan na Okrah walivyotoshana nguvu, haya tunayaona sisi uwanjani...
  18. britanicca

    Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

    Binadamu katika mazingira mbali mbali, hukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa. Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya. Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri. Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya. Kuna waliowahi kushuhudia...
Back
Top Bottom