.
Angalisho.
Binafsi mimi ni mwafrika mkristo, hivyo naamini zaidi Biblia na ndicho kitabu nachokifuatilia Au kukisoma zaidi.
Ni katika harakati za kumuuliza Mungu wangu majibu juu ya maswali tata yanayotutatiza hasa Waafrika.
Ndipo Nilionyeshwa siri ambayo sikuwa naijua au kusikia popote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.