Hivi huko Tanganyika huwa mnasoma somo la nidhamu mashuleni?
Umekutana na mtu, wala hamfahamiani kihivyo, hujui anapenda nini, hujui anavutiwa na nini, unakurupuka tu?
Nani aliwaambia kila mtu ni shabiki au mfuasi wa mpira?
Umekutana na mtu, wala havutiwi hata na mipira, unaanza kuleta...