site

SITE (originally also known as Sculpture in the Environment) is an architecture and environmental design firm founded in 1970 by James Wines.Located in the Wall Street area of New York City, the firm aims to unite building design with visual art, landscape, and green technology.
In the 1970s, SITE became internationally known for a series of highly unorthodox retail facilities for Best Products. While keeping the basic shape of a simple brick box, SITE gave the exteriors of the buildings an ironic postmodern twist, often suggesting cracks in the brickwork or deforming walls.
The severely distressed crumbling walls of the Indeterminate facade near Houston, Texas purportedly “appeared in more books on 20th century architecture than photographs of any other modern structure.”
Despite possibly representing "the apex of American Postmodernism," all the BEST facades disappeared or are now unrecognisably transformed.

View More On Wikipedia.org
  1. Zekoddo

    Shirika au site inayotoa training ya mambo ya Kilimo.

    Wakuu,, Hivi ni Mashirika gani au site gani zinazotoa ofa za training za Kilimo bure kwa muda mfupi, Iwe hapa Tanzania au nje ya nchi.. Nitashukuru sana nikijulishwa ili nijaribu kuomba kulingana na wakati uliopangwa kufanyika kwa mafunzo husika kulingana na Kila training/course.
  2. Roving Journalist

    DC wa Ubungo, Lazaro Twange azungumzia uhaba wa Maji na ubovu wa Barabara Kimara, asema kuna Mkandarasi amekimbia 'site'

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Lazaro Jacob Twange amewataka wataalam wanaosimamia miundombinu ya barabara kufanya kazi kwa haraka na kukamilisha kwa wakati ili wananchi wapate huduma. Mh. Twange ametoa maelekezo hayo katika ziara yake ya kusikiliza na kutatua changamoto mabalimbali za wananchi ...
  3. Kidagaa kimemwozea

    Rangi za kofia za site na maana zake

  4. Stephano Mgendanyi

    Ulega Atoa Wiki Mbili (Siku 14) Wakandarasi Miradi ya Dharura Wawe Site

    ULEGA ATOA WIKI MBILI WAKANDARASI MIRADI YA DHARURA WAWE SITE Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ametoa wiki mbili kwa wakandarasi wote nchini waliopata ujenzi wa miradi ya dharura Contigency Emegency Response Component (CERC),kuanza kazi mara moja. Amesema hayo leo wakati akikagua barabara ya...
  5. M24 Headquarters-Kigali

    KERO MAAJABU! Dom-Iringa, mashimo kama yote. Mkandarasi bado yupo site?

    Hata kama ni kubunya huku mnazidisha aisee. Mbona Dom-Kondoa-Babati-Arusha barabara imejengwa standard kabisa haina mashimo kama hiyo ya Dom-Iringa?
  6. PureView zeiss

    IDF: tunajiandaa kupiga tena Iran kwenye nuclear site zote

    Kwa mujibu wa wizara ya ulinzi kupitia Kwa jeshi la Israel wametangaza mpango wao wa kupiga tena nuclear site zilizobakia nchini Iran. Leo IDF wametoa mchanganuo wa vita ya Syria hasa baada ya kuharibu Rada zote Syria pamoja na vituo vyote vya makombora ya Masafa marefu na mafupi pamoja...
  7. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    KERO Nikwamba wafanyakazi wa Tanesco hawana nyimbo zingine tofauti na nyimbo za matusi wanazoimba kila leo wakiwa site?

    Wakuu kheri kwenu nyote. Naandika haya ikiwa siyo mara ya kwanza wala ya pili kuwasikia hawa wafanyakazi wa Tanesco wanaweka nguzo za umeme pamoja na nyaya zake(cable). Vijana hawa haijarishi wapo kwenye makazi ya watu au maporini nyimbo zao ni zilele za matusi.Nauliza kwenu ninyi TANESCO...
  8. Quetzal

    Je unaweza pata mahusiano yanayoeleweka kupitia Dating Site?

    Basi bwana, mimi ni ke Nikasema nimekua single miaka 3 ngoja nijiunge dating site nione kama naweza pata mpnz. Looooh....Najutraaa Hivi unaweza pata mpnz wa na kuanzisha mahusiano kwenye dating app.?. Maana kila mmoja anataka kupiga na kusepa. Je wapo waliopata wampenzi na mahusiano kwenye...
  9. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro Akabidhi Eneo (Site) Ujenzi wa Soko la Kimkakati la Kabanga kwa Mkandarasi

    06/12/2024 Mbunge wa Jimbo la Ngara Mh Ndaisaba G Ruhoro kwa ushirikiano na Ofisi ya Kilimo Wilaya wameshiriki kumkabidhi mkandarasi aliyeshinda zabuni ya ujenzi na umaliziaji wa soko la Kimkakati Kabanga. Hii ni utekelezaji wa ahadi ya RUHORO na DIWANI wa Kabanga Mh Hafidhi Abdallah waliyo...
  10. Y

    Fundi bomba majumbani na maofisini free site visit

    Habari viongozi naiman mpo poa nipo hapa kutangaza biashara yangu mimi noifundi bomba wa majumbani na building materials pia ambae nimebobea pia tuna duka la hardware lipo kariakoo kwa huduma zaid 0699361938
  11. keneddelly

    Guys! Nimefungua classfied site (Bishoo)

    Guys! Naomba ushauri wenu ,nimefungua mtandao wa kuwaweka pamoja wauzaji na wanunuzi wa Tanzania. Naomba kama mtapata nafasi muupitie mnipe ushauri wapi niongeze au nipunguze. Najua humu kuna watu professional wa kunisaidia kuweza kufikia lengo. Address yake ukibonyeza hapa unafika Bishoo Ni...
  12. green rajab

    Urusi yaionya Israel isithubutu kugusa nyuklia site ya Iran

    Urusi imerudia kutoa onyo kwa Israel isithubutu kushambulia nuclear facilities ya Iran ⚡️BREAKING Russia warned Israel against striking Iranian nuclear facilities We have repeatedly warned and will continue to warn Israel against even hypothetically considering the possibility of a strike on...
  13. yunus75

    Nina wazo la kuanzisha social site lakini nakosa washirika wa ku push hili kwa pamoja na kufikia malengo

    Nina wazo la kuanzisha social site lakini nakosa washirika wa ku push hili kwa pamoja na kufikia malengo.
  14. mdukuzi

    Nimeshindwa kesi ya jamaa aliyezikwa kwenye site ya kaburi langu

    Baba yangu mzazi alihamia Dar es salaan mwaka 1968, akiwa kijana, Tangu miaka hiyo mpaka anazeeka alienda kwao nara chache sana,niseme tu hakupapenda kwao,maana hakujenga hata slope kule kijijini. Siku zote alikuwa akisema akifa azikwe hukuhuku mjini,manispaa ya ubungo kuanzia kimara mpaka...
  15. Ustadh tongwe

    Ninahitaji fundi tiles, site ipo mkoa wa Tanga

    Habari km kichwa Cha habari kinavyoonyesha nnahitaji fundi tiles site ipo mkoa wa Tanga naomba na fundi wakuwepo Tanga maana kazi yangu ni kubwa Hila sio ya kutengeneza Kwa mara moja ndio maana nnataka fundi wa huku huku Tanga maana tutakuwa tunapga vyumba viwili tunakaa wiki tunapga Tena Sasa...
  16. Stephano Mgendanyi

    Wakandarasi Wapo SITE Kuendelea na Ukarabati wa Barabara

    Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainab Katimba (Mb) amesema tayari wakandarasi wapo site wakiendelea na ukarabati wa barabara zilizohabika na mvua pia katika Halmashauri ya Kishapu. Mhe. katimba amesema hayo Bungeni Jijini Dodoma...
  17. Insidious

    Je, Website za Serikali na mashirika ya umma hazifanyi kazi muda huu au ni kwangu tu? "This site can’t be reached"

    Habari wana jukwaa, Nimejaribu kuingia Website za serikali na za mashirika ya umma ila naona zote zinasema "This site can’t be reached". je kuna shida? na zote zinatumia server moja? Nimejaribu web zifuatazo; 1. IKULU 2. EGA 3. PSRS 4. NSSF 5. WIZARA KADHAA Jaribu na wewe mdau tujue.
  18. P

    Nahitaji Msanifu majengo mwenye uwezo wa kufika site kwangu

    Wakuu habari zenu. Nahitaji ramani Kwa ajili ya Apartment za kupangisha. But kabla ya kupewa ramani nahitaji mhusika afike site ili aone namna ya eneo lilivo. Site ipo Kiabakari - Musoma, ni vema pia kama mhusika atakuwa mkazi wa maeneo hayo. PM Iko wazi tufanye kazi Kwa Msanifu majengo...
  19. Limbu Nation

    Ifahamu Rebar Coupler: Teknolojia mpya ya kuunganisha nondo ukiwa site ili kupunguza matumizi ya nondo

    Rebar coupler, ni aina mpya ya uunganishaji wa nondo za nguzo (column) au nondo za beam au za retaining walls wakati wa zoezi la ufungaji wa chuma (usukaji wa nondo). Aina hii hutumiwa zaidi na wachina katika shughuli ya ujenzi. Mfano katika ujenzi wa bwawa umeme la mwalimu Nyerere (JNN)...
Back
Top Bottom