Microsoft imetangaza kuwa itafunga huduma ya Skype ifikapo Mei 5, 2025, baada ya miaka 22 ya huduma. Hatua hii inalenga kurahisisha huduma za mawasiliano kwa watumiaji kwa kuhamasisha matumizi ya Microsoft Teams, ambayo imepata umaarufu mkubwa katika miaka ya hivi karibuni.
Watumiaji wa Skype...