slaa afikishwa kisutu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Wilbroad Slaa: Hata CCM wanasema kuhusu No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona kilichofanyika Dodoma, wamevunja sheria!

    Wakuu, Kumbe kuna watu uko CCM na wenyewe wanapendezwa na hii agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections? Akiwa anazungumza leo kwenye ukumbi wa Mlimani City wakati yuko kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Dkt Slaa amesema kuwa kuna baadhi ya watu CCM wanaunga agenda ya CHADEMA ya No...
  2. B

    Boni Yai: Kukamatwa Dk. Slaa na kunyimwa dhamana kijanja kijanja, ni jambo la kulaaniwa na kila mpenda Haki na hasa aliye Mzalendo!

    Bila shaka andiko lake aliyekuwa mstahiki huyo linawahusu pia mwamba na chawa wake hasa waliosikika kuserebuka. Anaandika mstahiki meya huyo wa enzi hizo: "'judicial manoeuvre' ni kitendo cha kutumia mbinu chafu ndani ya Mahakama ili Kumkomoa, Kumtisha au kudhulumu haki ya mtu. Michezo...
  3. Waufukweni

    Pre GE2025 Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

    Wakuu Kama muonavyo picha Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter). Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba...
Back
Top Bottom