Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo.
Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua ya Ubalozi na Kiapo cha Ubalozi, hayo mengine hayatambui.
Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.