slaa avuliwa hadhi ya ubalozi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dkt. Slaa: Bado nina hadhi ya Ubalozi

    Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo. Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua ya Ubalozi na Kiapo cha Ubalozi, hayo mengine hayatambui. Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…