slaa na ccm

The Party for Democracy and Progress (Swahili: Chama cha Demokrasia na Maendeleo), commonly known as Chadema, is a centre-right political party in Tanzania.
Chadema is the second-largest political party in Tanzania and campaigns on regional autonomous of self-governing states in the country.

View More On Wikipedia.org
  1. Erythrocyte

    Dkt.Slaa: Mabadiliko ya Mawaziri, Serikali haijui inataka nini, kubadili viongozi kama Gauni haisaidii kitu

    Haya si Maneno yangu, ni Maneno ya Dkt Slaa MWANASIASA mkongwe na Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa amesema mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan kila mara yamedhihirisha kuwa Serikali haijui inataka nini kwa sababu hata viongozi...
  2. mwanamwana

    Dkt. Slaa: Mimi ni mmoja wa waanzilishi wa CCM. Wakati ule muundo wa maisha ulikulazimu kuwa TANU

    Dtk. Wilbroad Slaa akihojiwa na Clouds TV amedai kuwa mmoja wa waanzilishi wa CCM na alikuwa kiongozi. Amesema kwa wakati ule kulikuwa hakuna namna ya kutokuwa TANU. Nimekuwa katbu waTANU tangu mwaka 1973 hadi 1977. NaTANU ilipogeuka kuwa CCM, mimi ni mmoja wa waanzilishi wa CCM mpaka 1978...
Back
Top Bottom