smartphones

  1. Trainee

    Inawezekana tumemezeshwa matangopori mengi sana kabla ya kuenea kwa teknolojia na kufurika kwa hizi smartphones. Christy Chung yupo hai bana!

    Alaaniwe yule mtangazaji wa redio (kama siyo tbc basi ni radio free) ambaye alitangaza kwamba mdada (mmama) yule amekufa. Ili nisiwaache wengine hapa ngoja nifafanue kidogo, huyu Christy Cheung ni yule mdada aliyekuwa akilindwa na Jet Li kwenye movie ya The Bodyguard From Beijing Kipindi hicho...
  2. Meneja Wa Makampuni

    Smartphones can now connect directly to Starlink satellites

    Habari nilizo zipata muda huu ni kwamba. Simu hizi zitakuwa zinakamata internet moja kwa moja kwenye satellite. Hii ni habari njema sana wanasayansi ni wakombozi wa hii dunia. ========= SpaceX and T-Mobile have secured a major victory with approval from the U.S. Federal Communications...
  3. Stability

    Duka la Simu orijino za Nokia

    Wakuu, ni duka gani maarufu linalouza simu za nokia (smartphones) zilizo OG?
  4. Mzee Kimamingo

    Natafuta mawinga wanaouza simu (smartphones na simu vitochi originals)

    Habarini wana jamvi. Katika harakati za maisha nimeamua kufungua biashara (Chimbo) ya kuuza simu jumla na rejareja kutoka Dubai na China. Duka linapatikana mtaa za Aggrey na Masasi Kariakoo. Naomba kufanya kazi na mawinga waaminifu wao nitawauzia kwa bei nzuri tu na hata akimleta mteja kwa bei...
  5. Bob Manson

    Ukiwa barabarani, kuwa makini usije ukagongana na wanaotembea vichwa vimeinama kwenye simu mkononi

    Ukiwa barabarani, kuwa makini usije ukagongana na hawa, wakitembea vichwa vimeinama na simu mkononi. Wakitembea mbele hawaoni, wengine wanaishia mitaroni, wanakoswa kugongwa na magari. Ukiwa barabarani, chukua tahadhari dhidi ya viumbe hivi hatari, kwani macho yao muda wote yapo kwenye vioo...
  6. R

    Hivi wazazi mnajua hatari kiasi Gani inawakabili watoto WADOGO mnaowaachia smartphones muda wote?

    Salaam, Shalom!! I declare interest, Mimi Rabbon ni baba wa watoto wengi, mtoto yeyote popote ni mwanangu sababu Mimi ni mwalimu wa watoto kiimani na kiroho. Twende haraka kwenye mada, zipo athari nyingi wazazi mnawaletea watoto wenu Kwa kujua na wengine kutojua. Ninakutana na cases...
  7. gaintoo broisser

    Top 5 Most Secure Smartphones in the World

    Explore these top 5 most secure smartphones ruling the world right now In an era dominated by technological advancements and interconnectedness, the security of our data is paramount. Smartphones, being an integral part of our daily lives, often store sensitive information ranging from personal...
  8. R

    Naomba kujua ushuru wa kuingiza smartphones kutoka nje

    Habari wakuu. Kuna mtu wangu yupo nje ya nchi anataka kunitumia smartphones tano (5) brand new. Utaratibu wa ushuru ukoje pindi zikifika nchini? Nadhani kuna wakati serikali iliondoa import duty ila ikarudisha tena. Naomba kuwasilisha.
  9. benzemah

    Smartphones Kuanza Kutengenezwa Mkoa wa Pwani

    Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amesema mkoa huo unajiandaa kuanza kutengeneza simu janja. Kunenge amesema hayo mjini Kibaha kwenye kikao maalumu cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mjii Kibaha. Kikao hicho kilijadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) za...
  10. Grand Canyon

    Apple reclaims top spot of the most smartphones shipped in Q4

    Apple is back on top, having shipped the most smartphones out of any maker in Q4 last year. Previously, the company regained second place in Q3, now it has overtaken Samsung to secure the #1 spot. This is all thanks to the strong performance of the iPhone 13 series, of course. In fact, analysts...
  11. Swahili AI

    Niulize chochote kuhusu smartphones na mirrorless na DSLE Cameras

    Nakaribisha maswali yoyote kuhusu Simu za aina yoyote ile pamoja na kamera za aina yote.
  12. Said Cosmetics

    Namna simu za smartphone zinavyochangia kuvunja ndoa

    Habari za mchana wakuu, Kama kichwa ca habari chahusika hapo juu. Simu ni kifaa muhimu kwa ajiki ya mawasiliano baina ya watu mbalimbali. Mbali na mawasiliano simu imewaleta watu karibu na kuwa kitu kimoja aidha kwa kuanziamsha urafiki, mahusiano n.k. Kutokana na mapinduzi makubwa ya sayansi...
  13. TODAYS

    Hatimaye Mtu aliyepooza ataweza kutumia smartphones au viungo vya roboti kwa akili zao

    Ukiwa unatembea, wenzako wanakimbia, ndivyo naweza kusema kwa lugha ya haraka kutokana na teknolojia inavyotupa picha kuwa siku moja binadamu ataweza kupika akiwa safarini au kupaa kwa kutumia mabawa (not as we see on movie) lakini kwa uwazi na kila mtu kununua na kutumia kifaa husika. Leo...
  14. Boban boy

    Tupeane maaarifa je inawezekana kutumia program za computer kwenye smartphones?

    Nmechek youtube nkaona kuna kitu kinaitwa exagear kwamba unaweza run program za computer kama virtual dj au fl studio ukaweza tumia kweny smartphone ila kwang inagoma je kun mjuzi humu anisaidie.
  15. FRANC THE GREAT

    Huawei yageukia kwenye ufugaji wa nguruwe kutokana na kushuka kwa mauzo ya smartphone

    Habari! Kampuni kubwa ya teknolojia ya Kichina Huawei (Huawei Technologies Co., Ltd.) imezindua mradi wa ufugaji wa nguruwe kupitia teknolojia ya Akili Bandia (Artificial Intelligence) Jumatatu wakati kampuni hiyo ikigeukia katika maeneo mengine ya kibiashara wakati biashara yake ya simu janja...
  16. Ntaghacha

    How Chinese Smartphones are stealing money from people Around The World

    When Mxolosi saw a Tecno W2 smartphone in a store in Johannesburg, South Africa, he was attracted to its looks and functionality. But what really drew him in was the price, roughly $30 — far less than comparable models from Samsung, Nokia, or Huawei, Africa’s other top brands. “They’re very...
  17. Miss Zomboko

    Utumiaji wa simujanja (smartphones) unakadiriwa kuongezeka nchini Tanzania ifikapo 2024

    Utumiaji wa simujanja (smartphones) unakadiriwa kuongezeka nchini Tanzania ifikapo 2024 kufuatia kuongezeka kwa matumizi ya intaneti katika kiwango cha (3G) na kukuzwa kwa mtandao wa 4G na wamiliki wa mitandao ya simu Usajili wa simujanja utakua kwa haraka kila mwaka katika kiwango (CAGR) cha...
  18. FRANC THE GREAT

    Samsung yaongoza katika soko la 'Smartphones' za 5G

    Kampuni ya vifaa vya kielektroniki ya Samsung imekuwa kinara katika soko jipya la 'Smartphones' zenye uwezo wa 5G ikiweza kuzalisha simu za 5G takribani robo tatu ya uzalishaji wote ulimwenguni katika kipindi cha robo ya tatu (Third Quarter) kwa mujibu wa utafiti kutoka IHS Markit | Technology...
  19. Hashpower7113

    Vifupisho vinavyotumika sana kwenye mitandao ya kijamii

    Ni ukweli usiopingika kwamba maendeleo ya sayansi na teknolojia, yamefanya matumizi ya intaneti kuongezeka sana. Matumizi ya intaneti nayo yamekuja na mambo mapya, katika ulimwengu wa sasa, mawasiliano kupitia mitandao ya kijamii, kama Facebook, Instagram, Whats App na kwingineko ni kitu cha...
  20. E

    Msaada betri ya simu, aina: Freetel Priori 4

    Msaada.. Natafuta betri ya simu, aina ya simu: Freetel Priori 4
Back
Top Bottom