soc 2022

Francisco "Soc" Aldana Rodrigo (January 29, 1914 – January 4, 1998) was a Filipino playwright, lawyer, broadcaster, and a Senator of the Philippines from 1955 to 1967.
In honor of in the struggle against the dictatorship of Ferdinand Marcos, his name was inscribed on the Wall of Remembrance at the Bantayog ng mga Bayani in 1998 - the year in which he died. An national cultural award named in his honor, the Gawad Soc Rodrigo is given by the Philippines' Komisyon sa Wikang Filipino (KWF) and National Commission for Culture and the Arts (NCCA).

View More On Wikipedia.org
  1. T

    SoC02 Mbinu za kupambana na madhara yatokanayo na mabadiliko ya tabia ya nchi katika kilimo nchini Tanzania

    Kutokana na ukuaji wa shughuli za binadamu za uzalishaji kumekuwa na uharibifu mkubwa wa mazingira Hali inayopelekea kubadilika kwa tabia ya nchi. Aidha shughuli za kibinadamu Kama vile ukataji miti, viwanda, kilimo na usafirishaji vimepelekea mabadiliko hayo kwa wingi. Baadhi ya madhara...
  2. P

    SoC02 Afya ya Akili na Malezi

    SOC AFYA YA AKILI NA MALEZI Katika maisha yote tulio ishi hapa duniani tumekuwa tukiamini kwamba hakuna kitu kinachotokea chenyewe lazima kuna kuna hatua amabyo huleta matokeo fula yawe mazuri au mabaya.Usemi huu wa ukiona vyaelea ujue vimeundwa huleta maana kwasababu mtu kuwa vile alivyo ni...
  3. T

    SoC02 Mbinu za kuondokana na tatizo la Ajira nchini

    Tanzania ni moja Kati ya nchi nyingi duniani ambazo zimekubwa na tatizo la ukosefu wa ajira, Hali ambayo imepelekea matatizo ya kiuchumi na kijamii. Ukosefu wa ajira rasmi hupelekea makundi ya vijana wasomi wasio na kazi kuongezeka katika jamii zetu, hali inayopelekea kuongezeka kwa makundi ya...
  4. M

    SoC02 Kilimo fursa kubwa

    KILIMO FURSA KUBWA. Chanzo cha binadamu ni uumbaji wa Mungu. ‘’Mungu akasema , Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi...Mwanzo 1:26. Na pia, Biblia...
  5. T

    SoC02 Namna ya kutatua matatizo yanayohusisha upatikanaji wa mazao ya chakula nchini

    SoC 2022 Kilimo kwa ukuaji wa uchumi na ustawi wa jamii. Kwa mda mrefu Sasa watanzania tunaendelea kukumbana na matatizo ya upungufu wa baadhi ya bidhaa Kama vile mafuta ya kupikia, Jambo ambalo hupelekea Bei kuwa kubwa na kuzua taharuki. Aidha baadhi ya jitihada za serikali kupitia wizara ya...
  6. M

    SoC02 Aplikesheni mkombozi

    Stories of change; Aplikesheni mkombozi. Ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana wengi wa Kitanzania ni moja kati ya matatizo ambayo mpaka sasa halijaweza kutatuliwa kikamilifu. Sio tu Tanzania, bali tatizo hili ni tatizo ulimwenguni pote. Moja wapo ya sababu kuu kwanini vijana wengi hawapati...
  7. mraniwene

    SoC02 Samaki Mkunjeni, Ila Mwanangu Msimguse!

    (Mwanzo) Hadithi Fupi “Mamu, Mamu, we Mariamu si nakuita ina maana hunisikii?”, ilisikika sauti ya Mama Ibra kama ilivyo kila siku mida ya saa kumi na moja na nusu akiwa anamuamsha mwanaye. “Amka haraka jamani tutakosa wateja, na wateja ndio pesa. Au unafikiri hivi vitumbua vitajipeleka vyenyewe...
  8. V

    SoC02 English should be taught since primary level in government schools

    English should be taught since primary and nursery level in Tanzania. Education is a material that one can acquire either oral or written means from another person. In Tanzania, most government schools in primary level educate their students in Kiswahili besides private schools where students...
  9. T

    SoC02 Mahangaiko yangu na mitandao ya kijamii

    Mitandao ya kijamii ni moja kati ya vitu vinavyoshika nafasi katika sehemu kubwa ya maisha yetu ambapo ina michango asi na chanya.Katika karne hii ya 21 tunaona ulimwengu umetekwa sana na mabadiliko mazuri ya teknolojia. Ila kwangu mimi sidhani kama mitandao ya kijamii iliyoboreshwa na...
  10. M

    SoC02 SoC 2022

    Vijana wa sasa katika ulimwengu huu kuna umuhimu wa kuangalia kesho yetu kwa jicho pana zaidi badala ya kuishi maisha kama mchezo wa kamali ujui lini unaweza toka kimaisha zaidi ya kusubiri kuajiriwa. Tukija chuo uwa na matarajio na maono makubwa kuhusu maisha yetu lakini kadri muda unavyo zidi...
  11. Jmushi91

    SoC02 Mshindi ni mimi na wewe leo

    Utajiri, pesa, umaarufu, vyeo, mamlaka, afya, chakula, mavazi, kazi, nyumba, magari, simu ya kisasa, unaweza kutaja mafanikio yoyote ambayo umepata. Hakika orodha haijaisha. Sasa nikuulize, ni mafanikio gani makubwa uliyoyapata maishani? Fikiria juu ya hili unapochimba chini kwenye hii...
Back
Top Bottom