Sóc Trăng (; Khmer: ស្រុកឃ្លាំង Srok Khleang lit. 'Land of depositories') is a city in Vietnam. It is the capital of Sóc Trăng Province. It was upgraded from a town (thị xã) to a city following decree 22/2007/NĐ-CP on 8 February 2007.
NASHUKURU SANA UONGOZI WA JAMIIFORUMS KWA KUNITAMBUA KAMA MOJA YA WANACHAMA WENYE MCHANGO KWA MWAKA 2024.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Hii kwangu niite heshima ya pekee. Kutambulika na kutambuliwa ni jambo kubwa ambalo wanadamu wengi hulipenda na kulitafuta.
Mimi kama Taikon nimefurahi...
Katika kuendeleza dhamira yake ya kuthamini na kuhimiza uzalishaji wa maudhui yenye ubora na tija mtandaoni, JamiiForums usiku wa leo, wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Shindano la Stories of Change 2024, inawatambua Wanachama wake watano waliotoa michango chanya mwaka huu 2024...
One Day To Go! Hafla ya utoaji wa Tuzo za Shindano la Stories of Change Msimu wa 4 inatarajiwa kufanyika kesho, Septemba 21, 2024
Mwaka huu Washiriki wameonesha uwezo wa juu katika kuijenga 'Tanzania Tuitakayo' wakilenga kuboresha Uchumi, Elimu, Afya, Teknolojia, Kilimo, n.k.
Mbali na zawadi...
Zimebaki siku 3 tu kufikia hafla ya utoaji wa Tuzo za Shindano la Stories of Change Msimu wa 4 inayotarajiwa kufanyika Septemba 21, 2024.
Kupitia maandiko yanayoangazia "TanzaniaTuitakayo" Washiriki wameonesha ujuzi, maarifa na ubunifu wa hali ya juu, wakilenga kuboresha Sekta mbalimbali...
Zimesalia Siku 5 tuu kuelekea Septemba 21, 2024, Usiku Maalum wa Hafla ya Utoaji wa Tuzo kwa Washindi wa awamu ya 4 wa Shindano la Stories Of Change
Kupitia Maandiko yao, Mwaka huu Washiriki wameonesha ujuzi, maarifa na ubunifu wa hali ya juu, wakilenga kuboresha Sekta za mbalimbali Nchini kwa...
SaveTheDate! Hafla ya utoaji wa Tuzo za Stories of Change Msimu wa 4 inakaribia.
Mwaka huu Washiriki walionesha 'Nguvu ya Kalamu’ zao kwa mawazo, maoni na michango ya kipekee katika kuijenga 'Tanzania Tuitakayo' wakilenga kuboresha Uchumi, Elimu, Afya, Teknolojia, Kilimo n.k.
Mbali na zawadi...
Sherehe ya Tuzo za Stories of Change 2024 inakaribia, tufuatilie ili usipitwe.
Septemba 21, 2024, Maandiko Bora yaliyoshinda katika Msimu wa 4 wa Stories of Change katika kuipendekeza Tanzania Tuitakayo kwa miaka 5 hadi 25 ijayo yatatambulika.
Aidha, katika siku hii Wazalishaji Bora wa Maudhui...
Zimesalia siku 10 pekee kabla ya kukabidhi zawadi kwa Washindi wa Shindano la Stories of Change 2024. Mwaka huu Washiriki walionesha 'Nguvu ya Kalamu' zao kwa mawazo, maoni na michango ya kipekee kuhusu 'Tanzania Tuitakayo' wakilenga kuiboresha sekta mbalimbali Tanzania kwa Miaka 5-25 ijayo...
Mshiriki lazima awe mwanachama wa JamiiForums, ambapo anaweza kujisajili kwa kiunganishi hiki; Register
Mshiriki anaweza kutumia jina halisi au la kubuni ‘pseudonym’.
Mshiriki atatakiwa kutaja jina halisi endapo ataibuka MSHINDI.
Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linaloelezea TANZANIA...
change
katika
kushiriki
masharti
shindano
shindano la soc
shindano stories of change
socsoc2024
stories
stories of change
stories of change 2024
vigezo
vigezo na masharti
TATIZO LA MAJI LITAISHA KWA NAMNA HII
Chanzo Cha Picha: Freepik
Tatizo la maji katika nchi yetu hii ya Tanzania ni changamoto kubwa inayokabili nchi, Mijini na vijijini. miundombinu ya maji safi na salama isiyo na ubora ni moja ya sababu kuu. Maeneo mengi hayana mabomba ya maji ya kutosha au...
NATAKA TANZANIA IWE YA MAFANO DUNIANI (USHAIRI)
---------------------------------------------------
maono yalo moyoni, kichwani mwangu akili
asilimia Imani, naona hiyo fahali
Miji paka jijini, niona nzur Hali
naona nchi ijayo, mfano kwenye dunia
hii ndoto yangu pevu, kuona ikichipua
na tuli...
Enyi watoto wa Kambarage ndimi ni mgeni wenu kutoka katika mamlaka ya ufahamu na utimamu wa kifikra, kwa hekima na uluwa nimetumwa kwenu niwaeleze kuwa kama mnataka mabadiliko ya kweli ndani ya miaka 25 ijayo basi mzingatie sana kuitibu changamoto ya afya ya akili ili muwe na kizazi chenye...
ELIMU.
1. KUONGEZA UWEKEZAJI: Serikali na wadau wa elimu wanaweza kuongeza bajeti ya elimu ili kuboresha miundombinu,vifaa vya kufundishia, na maslahi ya walimu.
2. MAFUNZO YA WALIMU: Kuwekeza katika mafunzo ya maendeleo ya walimu ili waweze kutoa elimu bora.
3. MITAALA: Kupitia upya na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.