soc 2024

Sóc Trăng (; Khmer: ស្រុកឃ្លាំង Srok Khleang lit. 'Land of depositories') is a city in Vietnam. It is the capital of Sóc Trăng Province. It was upgraded from a town (thị xã) to a city following decree 22/2007/NĐ-CP on 8 February 2007.

View More On Wikipedia.org
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Nashukuru sana Uongozi wa JamiiForum kwa kunitambua kama Moja ya wanachama wenye mchango kwa mwaka 2024

    NASHUKURU SANA UONGOZI WA JAMIIFORUMS KWA KUNITAMBUA KAMA MOJA YA WANACHAMA WENYE MCHANGO KWA MWAKA 2024. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Hii kwangu niite heshima ya pekee. Kutambulika na kutambuliwa ni jambo kubwa ambalo wanadamu wengi hulipenda na kulitafuta. Mimi kama Taikon nimefurahi...
  2. JamiiForums

    Wanachama wa JamiiForums waliotambuliwa kwa kuwa na michango chanya Jukwaani kwa mwaka 2024

    Katika kuendeleza dhamira yake ya kuthamini na kuhimiza uzalishaji wa maudhui yenye ubora na tija mtandaoni, JamiiForums usiku wa leo, wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Shindano la Stories of Change 2024, inawatambua Wanachama wake watano waliotoa michango chanya mwaka huu 2024...
  3. JamiiForums

    2024 Stories of Change Award Ceremony: Imebaki Siku 1 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

    One Day To Go! Hafla ya utoaji wa Tuzo za Shindano la Stories of Change Msimu wa 4 inatarajiwa kufanyika kesho, Septemba 21, 2024 Mwaka huu Washiriki wameonesha uwezo wa juu katika kuijenga 'Tanzania Tuitakayo' wakilenga kuboresha Uchumi, Elimu, Afya, Teknolojia, Kilimo, n.k. Mbali na zawadi...
  4. JamiiForums

    2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 3 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

    Zimebaki siku 3 tu kufikia hafla ya utoaji wa Tuzo za Shindano la Stories of Change Msimu wa 4 inayotarajiwa kufanyika Septemba 21, 2024. Kupitia maandiko yanayoangazia "TanzaniaTuitakayo" Washiriki wameonesha ujuzi, maarifa na ubunifu wa hali ya juu, wakilenga kuboresha Sekta mbalimbali...
  5. JamiiForums

    2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 5 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

    Zimesalia Siku 5 tuu kuelekea Septemba 21, 2024, Usiku Maalum wa Hafla ya Utoaji wa Tuzo kwa Washindi wa awamu ya 4 wa Shindano la Stories Of Change Kupitia Maandiko yao, Mwaka huu Washiriki wameonesha ujuzi, maarifa na ubunifu wa hali ya juu, wakilenga kuboresha Sekta za mbalimbali Nchini kwa...
  6. JamiiForums

    2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 7 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

    SaveTheDate! Hafla ya utoaji wa Tuzo za Stories of Change Msimu wa 4 inakaribia. Mwaka huu Washiriki walionesha 'Nguvu ya Kalamu’ zao kwa mawazo, maoni na michango ya kipekee katika kuijenga 'Tanzania Tuitakayo' wakilenga kuboresha Uchumi, Elimu, Afya, Teknolojia, Kilimo n.k. Mbali na zawadi...
  7. JamiiForums

    2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 8 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

    Sherehe ya Tuzo za Stories of Change 2024 inakaribia, tufuatilie ili usipitwe. Septemba 21, 2024, Maandiko Bora yaliyoshinda katika Msimu wa 4 wa Stories of Change katika kuipendekeza Tanzania Tuitakayo kwa miaka 5 hadi 25 ijayo yatatambulika. Aidha, katika siku hii Wazalishaji Bora wa Maudhui...
  8. JamiiForums

    2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 10 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

    Zimesalia siku 10 pekee kabla ya kukabidhi zawadi kwa Washindi wa Shindano la Stories of Change 2024. Mwaka huu Washiriki walionesha 'Nguvu ya Kalamu' zao kwa mawazo, maoni na michango ya kipekee kuhusu 'Tanzania Tuitakayo' wakilenga kuiboresha sekta mbalimbali Tanzania kwa Miaka 5-25 ijayo...
  9. JamiiForums

    SoC04 Vigezo na Masharti ya kushiriki katika Shindano la Stories of Change - 2024

    Mshiriki lazima awe mwanachama wa JamiiForums, ambapo anaweza kujisajili kwa kiunganishi hiki; Register Mshiriki anaweza kutumia jina halisi au la kubuni ‘pseudonym’. Mshiriki atatakiwa kutaja jina halisi endapo ataibuka MSHINDI. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linaloelezea TANZANIA...
  10. Ghost MVP

    SoC04 Changamoto ya Maji Itamalizwa Kwa "Desalination", Teknolojia Ya Kisasa Kwa Nchi Kubwa

    TATIZO LA MAJI LITAISHA KWA NAMNA HII Chanzo Cha Picha: Freepik Tatizo la maji katika nchi yetu hii ya Tanzania ni changamoto kubwa inayokabili nchi, Mijini na vijijini. miundombinu ya maji safi na salama isiyo na ubora ni moja ya sababu kuu. Maeneo mengi hayana mabomba ya maji ya kutosha au...
  11. Sking zone

    SoC04 Tanzania tuitakayo iwe ya mfano duniani

    NATAKA TANZANIA IWE YA MAFANO DUNIANI (USHAIRI) --------------------------------------------------- maono yalo moyoni, kichwani mwangu akili asilimia Imani, naona hiyo fahali Miji paka jijini, niona nzur Hali naona nchi ijayo, mfano kwenye dunia hii ndoto yangu pevu, kuona ikichipua na tuli...
  12. Mujib Abdullah

    SoC04 Ujumbe kutoka katika mamlaka ya fikra huru

    Enyi watoto wa Kambarage ndimi ni mgeni wenu kutoka katika mamlaka ya ufahamu na utimamu wa kifikra, kwa hekima na uluwa nimetumwa kwenu niwaeleze kuwa kama mnataka mabadiliko ya kweli ndani ya miaka 25 ijayo basi mzingatie sana kuitibu changamoto ya afya ya akili ili muwe na kizazi chenye...
  13. J

    SoC04 Mambo muhimu ya kufuata ili kuboresha sekta za elimu, kilimo na uchumi Tanzania

    ELIMU. 1. KUONGEZA UWEKEZAJI: Serikali na wadau wa elimu wanaweza kuongeza bajeti ya elimu ili kuboresha miundombinu,vifaa vya kufundishia, na maslahi ya walimu. 2. MAFUNZO YA WALIMU: Kuwekeza katika mafunzo ya maendeleo ya walimu ili waweze kutoa elimu bora. 3. MITAALA: Kupitia upya na...
Back
Top Bottom