NATAKA TANZANIA IWE YA MAFANO DUNIANI (USHAIRI)
---------------------------------------------------
maono yalo moyoni, kichwani mwangu akili
asilimia Imani, naona hiyo fahali
Miji paka jijini, niona nzur Hali
naona nchi ijayo, mfano kwenye dunia
hii ndoto yangu pevu, kuona ikichipua
na tuli...