soc04

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums

    2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 3 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

    Zimebaki siku 3 tu kufikia hafla ya utoaji wa Tuzo za Shindano la Stories of Change Msimu wa 4 inayotarajiwa kufanyika Septemba 21, 2024. Kupitia maandiko yanayoangazia "TanzaniaTuitakayo" Washiriki wameonesha ujuzi, maarifa na ubunifu wa hali ya juu, wakilenga kuboresha Sekta mbalimbali...
  2. JamiiForums

    2024 Stories of Change Award Ceremony: Zimebaki Siku 5 tu kutoa Tuzo kwa Washindi. Upo Tayari?

    Zimesalia Siku 5 tuu kuelekea Septemba 21, 2024, Usiku Maalum wa Hafla ya Utoaji wa Tuzo kwa Washindi wa awamu ya 4 wa Shindano la Stories Of Change Kupitia Maandiko yao, Mwaka huu Washiriki wameonesha ujuzi, maarifa na ubunifu wa hali ya juu, wakilenga kuboresha Sekta za mbalimbali Nchini kwa...
  3. L

    SoC04 Wahitimu wote wa vyuo wajitolee katika sekta ya umma mwaka mmoja

    Tanzania ni moja ya nchi ambayo inapiga hatua katika nyanja mbalimbali za maendeleo kama elimu, afya, madini, maji, utalii, kilimo, uvuvi nk. Katika sekta zote hizo, sekta ya elimu imekuwa sekta mama kwasababu ndio imekuwa ikizalisha wataalamu wanaohudumu katika sekta zingine. Mfumo wetu wa...
  4. F

    SoC04 Njia za kuifikia Tanzania tunayoitaka katika Sekta ya Elimu

    Katika kutafuta Tanzania yenye maendeleo endelevu na ustawi wa jamii, sekta ya elimu imebeba jukumu kubwa na la msingi. Elimu ni ufunguo wa maendeleo na mabadiliko chanya katika jamii yoyote ile. Katika miaka mitano(5), kumi(10), kumi na tano(15) hadi ishirini na tano(25) iajayo, ni muhimu kuwa...
  5. D

    SoC04 Mfumo wa elimu wa Tanzania kuua vipaji vya watoto

    Elimu ya Tanzania imekuwa chanzo moja wapo cha kuua vipaji vya watoto ambavyo walikuwa navyo tangu wakiwa wadogo. Kwa mfano mtoto mwenye ndoto ndoto ya kuwa rubani ana haja gani ya kusoma historia ya vita vya kwanza ya dunia. Hii ndiyo hupelekea watoto kuishia kusoma vitu ambavyo havipo kwenye...
  6. P

    SoC04 Tanzania tunayoitaka ni ile yenye macho ya kuona kizazi cha tatu na cha nne kutoka hivi sasa

    Ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya kisiasa, kiuchumi, kielimu, kiteknolojia pamoja na kiutamduni hatuna budi kuhakikisha baadhi ya mabadiliko katika mfumo mzima wa ajira kuanzia ngazi ya chini, mpaka ngazi juu yanafanyika, ili kufanya malengo ya taifa ya maendeleo ya muda mfupi, kati na muda...
  7. Jasson kweyamba apolinary

    SoC04 Kuwa na Tanzania bora kwa miaka 25 ijayo inahitaji juhudi na mchango wa jamii nzima

    Kuwa na Tanzania bora kwa miaka ishirini na tano zijazo inahitaji juhudi na mchango wa jamii nzima, ikiwa ni pamoja na serikali, sekta binafsi, mashirika ya kijamii, na wananchi wenyewe. Hapa kuna mapendekezo kadhaa ya mambo ambayo serikali na jamii wanaweza kufanya kuboresha Tanzania: 1. Elimu...
  8. Z

    SoC04 Namba moja ya simu inayoweza kutumia mitandao Yote (Single phone number multiple phone network)

    Ili kuendana na teknolojia ya dunia na kukimbia kwa kasi tunapaswa kuwa na teknolojia ambayo itaketa vitu vingi Kwa pamoja na kurahisisha huduma katika sehemu moja Moja ya huduma hizi ni pamoja najua na namba moja ya simu ambayo itatumia mitandao yote, mtu atakuwa na namba moja ya simu...
  9. J

    SoC04 Mifumo 10 Tanzania na changamoto na utatuzi wake

    1.Tausi -Portal Tausi -core 2. RITA 3. EGA 4. BIMA 5. KULAZA WAGONJWA HOSPITALI -Private - Goverment 6. UHAMIHAJI -Passport Visa 7. NIDA 8. MIFUMO YA KUHAMISHA WATUMISHI 9. MIFUMO YA MAHAKAMA 10. MAOMBI YA MIKOPO HESLB Maana ya mfumo Mfumo ni utaratibu wa ukusanyaji na uchakataji wa taarifa ili...
  10. B

    SoC04 Kuimarisha Elimu na Mafunzo ya Stadi Za Kazi Kwa Ajira Endelevu Tanzania

    Sekta ya ajira nchini Tanzania inalazimika kukabiliana na changamoto kadhaa, ikiwemo upungufu wa wafanyakazi wenye stadi na ujuzi unaotakiwa katika soko la ajira. Hili limekuwa ndio changamoto kubwa zaidi ambayo inahitqji kuangaliwa kwa umakini mkubwa katika miaka ijayo kuanzia miaka 5 hadi...
  11. M

    SoC04 Iundwe Wizara ya Maadili, watoto, vijana na uzalendo kwa taifa

    Nafahamu ipo Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ikishughulikia masuala mbalimbali yahusuyo jamii, jinsia za vijana wakike na wakiume, changamoto za wanawake na wanaume, wazee pamoja na makundi maalum. Liakini bado haitoshi wizara hii kubeba mambo yote hayo. Taifa...
  12. E

    SoC04 Kujenga Tanzania ijayo kunahitaji kujizatiti katika kuimarisha uongozi thabiti na imara ya utawala

    Kujenga Tanzania ya kesho kunahitaji kujizatiti katika kuimarisha uongozi thabiti na mifumo imara ya utawala. Kwanza, viongozi lazima wawe na maadili ya juu na wawajibike kikamilifu kwa wananchi, wakiepuka rushwa na kujiepusha na ubinafsi. Pili, sera za maendeleo zinapaswa kuwa na lengo la...
  13. S

    SoC04 Mfumo wa wazi wa Kidijitali kufatilia utekelezaji wa miradi ya Serikali

    Mfumo wa kidijitali wa ufuatiliaji wa Miradi ya Serikali Ili kuongeza uwazi. (Government Projects Tracking System). Maendeleo ya Sayansi na teknolojia yamerahisisha utoaji wa huduma mbalimbali kwa wananchi wake, huduma mbalimbi kama Elimu, Afya, Nishati ya umeme, Mawasili na usafirishaji n.k...
  14. HONEST HATIBU

    SoC04 Tanzania Isiyo na Rushwa: Ni Ndoto au Ukweli?

    Tanzania Isiyo na Rushwa: Ni Ndoto au Ukweli? Utangulizi Tanzania ni nchi yenye fursa nyingi na uwezo mkubwa. Hata hivyo, nchi yetu pia inakabiliwa na changamoto kubwa ya rushwa. Rushwa ni kizuizi kikubwa kwa maendeleo yetu, kwani inakatisha tamaa uwekezaji, inasababisha ukosefu wa usawa, na...
  15. falcon Q

    SoC04 Establishing, raising and gaining technology immortality in Tanzania

    Overview Since gaining independence Tanzania has been gradually making advancement in various sectors. Tracing back to 1980s when industrial output and capacity utilization declined. The economy was dominated by simple activities mainly for day to day life support. Competitive responses to...
  16. R

    SoC04 Nini kifanyike, kama sio kuondoa basi kupunguza mikopo kufadhili bajeti ya nchi kufikia miaka 5 hadi 25 ijayo

    Utangulizi Tanzania kama nchi nyingine yingi zinazo endelea inakabiliwa na ukopaji wa fedha kutoka Kwa wafadhili mbalimbali wa ndani na nje ya nchi kufadhili bajeti ya Taifa. Utatuzi wa changamoto hii unahitaji maoni si ya wataalamu na viongozi wa kisiasa pekee, bali kuwapa nafasi wananchi...
  17. N

    SoC04 Harakati ya Kuwawezesha Watoto na Familia za Mitaani

    Utangulizi Wapo watoto wa mitaani lakini pia zipo familia za mitaani. Hizi ni familia zilizokumbwa na majanga asilia kama vile mafuriko, matetemeko ya ardhi, njaa, ukame, umaskini, magonjwa, vimbunga, na kadhalika lakini pia zilizokumbwa na majanga ya kibinadamu kama vile migogoro binafsi na ya...
  18. Kong xin cai

    SoC04 Tusichague viongozi (wabunge) kwa kigezo cha wao kuja kutatuta matatizo yetu. Tuchague viongozi waaminifu na wenye uzalendo juu ya taifa letu

    TANZANIA TUITAKAYO 1.0 UTANGULIZI Takribani miaka 63 imepita tangu Tanganyika kupata uhuru na miaka 60 ya muungano wa jamuhuri ya muungano wa tanzania. Chaguzi nyingi zimepita pamoja na marekebisho mbalimbali ya katiba yamekwisha fanyika ili kuleta uongozi bora na kuimarisha demokraia nchini. Ni...
Back
Top Bottom