Kazi ni nini?
(Kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili sanifu).
Kazi ni utumiaji wa nguvu,juhudi, maarifa katika jambo au jitihada, bidii, utendaji.
Katika miaka ya hivi karibuni kumeibuka na wimbi kubwa la tatizo la kukosa nafasi za kufanya kazi. Lakini tatizo hili Kumekuwa likilalamikiwa sana na...