sodoma

Il Sodoma (1477 - 14 February 1549) was the name given to the Italian Renaissance painter Giovanni Antonio Bazzi. Il Sodoma painted in a manner that superimposed the High Renaissance style of early 16th-century Rome onto the traditions of the provincial Sienese school; he spent the bulk of his professional life in Siena, with two periods in Rome.

View More On Wikipedia.org
  1. Mshana Jr

    Hapa ndipo ilipozikwa Sodoma na Gomorrah

    Bahari ya Chumvi, mojawapo ya maajabu mazuri zaidi ya dunia, ni ziwa la chumvi ambalo liko kwenye sehemu ya chini kabisa ya Dunia. Mpaka wa Yordani kwa Mashariki, na Israeli na Ukingo wa Magharibi kuelekea Magharibi. Iko katika Bonde la Yordani, na kijito chake kikuu ni Mto Yordani. Uso wa...
  2. R

    Tofauti ya Los Angeles, Hollywood na Sodoma na gomora ipo wapi?

    Salaam, shalom!! Kwa Hali ilivyo ya UOVU katika miji Mikubwa duniani , na UOVU unaofanyika katika Kijiji kile mlimani ndani ya Jiji la Los Angeles na UOVU uliofanyika miji ya sodoma na gomora enzi zile Pana tofauti? Moto unaendelea kuchoma mji Ule , haujulikani chanzo chake Hadi sasa...
  3. comrade_kipepe

    Sodoma ipo hapa Dar, usiku huu nimeshuhudia mengi

    Leo nimeboeka nikasema niende Temeke nikatembee mida ya sa5 usiku, kuna bar nikaingia nikawa nakunywa wine palikua panapigwa miziki ya bongo flava, lakini ilivyofika saa 6 usiku wakaingia VIJANA na matarumbeta na wadada wengi Sana wamevaa madela, nyimbo za bongo flava zikawa hazipigwi ikawa NI...
  4. Riskytaker

    Iliyokua Sodoma na Gomora ndio nchi gani siku hizi?

    moja ya hadithi ya kusisimua kwa biblia ni hii ya sodoma na gomora Raia /wakazi wa hii mitaa walikua watenda dhambi wa kutupwa. mapenz ya jinsia moja /ushoga kwao ilikua sio story manake walifanya na biblia imesema wazi. unaambiwa Mungu alicheki sodoma na gomora akasema kama kuna watu 50...
  5. Kaka yake shetani

    Hivi kwa nini wenye tabia za sodoma na gomora wana 1,2,3,4......

    Nimebaki kujiuliza yani sehemu au maeneo kuliko shamiri sodoma na gomora ndio kuna pesa sana kuanzia upatikanaji wa kipato mpaka madili. Sehemu au maeneo hayo ndio yenye maisha ya kutisha sana yani kama ushirikina,masonic na wahalifu ndio wamejaa. Kuna siku nilipita bar fulani X aisee yani...
  6. Jaji Mfawidhi

    Arusha: Hakimu Benson Ngowi(32) anashikiliwa na Polisi kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29

    Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Loliondo,Benson Ngowi(32) anashikiliwa na jeshi la Polisi katika kituo cha Loliondo,Wasso kwa kosa la kumlawiti kijana mwenye umri wa miaka 29 mkazi wa Wasso wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha. Hakimu huyo, ambaye pia alifanya kazi ya uwakili kwenye Kampuni ya...
  7. R

    Kwanini Papa Francis anawaandalia watoto na wajukuu SODOMA? Kwa nini hakuonyesha huu msimamo wake ujanani? Bado anabaki kuwa mtakatifu?

    Papa kwa sasa ni mzee sana, anapaswa kuepuka kuweka misingi ya kesho ya Dunia hasa pale anapotakiwa kutoa msimamo wake kuhusu mambo yenye utata. Naamini wapo watu wanatumia vibaya uzee wake. Wapo watu ndani ya Vatcan wana ndoa wanatafuta msamaha wa Mungu kwa kuweka misingi ya kubarikiwa kwa...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Tangazo la Israel kuwataka Wapalestina Waondoke Gaza ili waiangamize ni tangazo hilohilo lililotolewa na Malaika Sodoma na Gomorrah

    TANGAZO LA ISRAEL KUWATAKA WAPALESTINA WAONDOKE GAZA ILI WAIANGAMIZE NI TANGAZO HILOHILO LILILOTOLEWA NA MALAIKA SODOMA NA GOMORRAH. WALIOKAIDI WALIANGAMIZWA. Anàandika, Robert Heriel Mtibeli. Inaweza ikawa sio Haki au ikawa Haki. Hiyo ipo juu ya mtazamo wa kifikra za mtu husika. Ila...
  9. Mhaya

    Je, ushoga na mapenzi ya Jinsia moja haiturudishi Sodoma na Gomorrah tukakumbwa na hasira na Mungu (Wrath of GOD)?

    Wengi wetu tunakumbuka historia ya kwenye vitabu vya Dini kuhusu Sodoma na Gomorrah, uovu mkuu uliotawala katika miji hiyo ulikuwa ni Uzinzi na Ushoga ambayo leo tunatafsiri kama mapenzi ya jinsia moja. KATIKA BIBLIA Historia ya Sodoma na Gomora inapatikana katika Kitabu cha Mwanzo (Genesis)...
Back
Top Bottom