soka la afrika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rorscharch

    Wachezaji wa Kiafrika Wanatumika Kama Bidhaa Ulaya: AFCON Kudharauliwa na FIFA Kupuuza Maendeleo ya Soka la Afrika

    Soka ni mchezo unaopendwa zaidi ulimwenguni, lakini je, kweli Afrika ina nafasi sawa katika uwanja huu wa kimataifa? Ukweli mchungu ni kwamba mpira wa miguu umetumiwa kama silaha ya kudhibiti bara la Afrika—kutufanya tuhisi duni, kutudanganya kwamba hatustahili, na kutufanya tuendelee kuwa...
  2. SAYVILLE

    Jinsi Waarabu wanavyoendelea kutawala soka la Afrika

    Waarabu wameshaonja utamu wa asali ya pesa za CAF kwa hiyo wamejijengea mtandao mkubwa wa kuhakikisha hakuna boya yoyote anakuja kuwanyang'anya asali na himaya yao. Miaka ya hivi karibuni Simba na Yanga zimejitahidi kufanyafanya usajili na kujifunza mikakati michache ya ndani na nje ya uwanja...
  3. Labani og

    IFFHS: Yanga yaicha mbali Simba takwimu za kimataifa 2024

    Shirikisho la Kimataifa la Historia ya Soka na Takwimu (IFFHS) limetoa takwimu ya vilabu bora 24 Barani Afrika kuanzia Tarehe 1 Januari mpaka 31 disemba mwaka 2024. Katika Takwimu hizo Klabu ya Yanga ipo nafasi ya 9 ikiwa juu ya Kalbu ya Simba ambao wapo nafasi ya 15. Orodha hiyo Klabu kutoka...
  4. Waufukweni

    TFF yakanusha kuhusu Tanzania kuwa hatarini kuondolewa AFCON 2025 baada ya kukiuka kanuni za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF)

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeeleza kusikitishwa na taarifa zinazozagaa mitandaoni kuhusu uhalali wa mchezaji Muhamed Ame kuchezea Timu ya Taifa (Taifa Stars). TFF imefafanua kuwa Ame ni miongoni mwa wachezaji 23 walioorodheshwa rasmi kwa mechi dhidi ya Guinea, na alikaguliwa...
  5. Waufukweni

    Rais wa Shirikisho la Soka Afrika Kusini (SAFA) Mbaroni kwa Kutumia Pesa za Shirikisho Kujinufaisha Binafsi

    Rais wa Shirikisho la soka la Afrika Kusini (SAFA) Danny Jordaan amekamatwa kufuatia madai ya kutumia pesa za Shirikisho hilo kujinufaisha binafsi, kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini humo. Jordaan, ambaye alichukua jukumu kubwa katika kuandaa Kombe la Dunia la 2010 nchini Afrika Kusini...
  6. SAYVILLE

    Wydad ingeiachia Simba fursa ya kucheza Club World Cup

    Ukiangalia mwenendo wa Wydad unaona kabisa no timu ambayo itachukua muda mrefu sana kukaa sawa. Club World Cup ni mwakani na Wydad ndiyo kwanza imefungiwa kufanya usajili kwa hiyo zoezi la kuboresha timu linazidi kuwa gumu. Si muda mrefu watatimua kocha wao. Naona kabisa huko World Cup...
  7. Labani og

    Africa soccer zone: Timu zilizoperfom zaidi 2024 Africa

    MMESIKIA HUKO? . Kwa mujibu wa Africa Soccer Zone,Klabu ya Yanga inashika nafasi ya pili nyuma ya Al Ahly kuwa ndio Klabu zinazofanya vizuri kwa sasa barani Afrika. Orodha ni kama ifuatavyo 1-Al Ahly 2-Yanga 3-Petro De Luanda 4-Orlando Pirates 5-Mamelodi Sundown 6-Rs Berkane 7-Al Hilal 8-As...
  8. Labani og

    Eng Hersi ashinda tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango zaidi Africa

    Rais wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng. Hersi Said ameshinda Tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango kwenye maendeleo ya mpira wa miguu barani Afrika. Shamrashamra za kutunuku tuzo hizi za Nigeria-France Sports Awards, zilifanyika juzi jijini Paris, Ufaransa na...
  9. Mkalukungone mwamba

    Cedric Kaze kocha msaidizi wa klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kufanya kazi Nasreddine Nabi

    Hatimaye plan ya Nabi kumleta Kaze ndani ya Kaizer Chiefs imetimia. Unaweza kusema colabo yao ndani ya Yanga katika misimu miwili yenye mafanikio imeifanya Kaizer nao kuwapa nafasi ya kufanya kazi pamoja. Ngoja tuone utavuna nini ndani ya msimu huu! =============== Aliyekuwa kocha wa Yanga Sc...
  10. Sodoku

    Kilichowakuta Team ya Nigeria Libya hawana hamu. Simba mjiandae. Ndo mtawaelewa Waarabu

    Ila waarabu. Nimewavulia kofia. Nigeria wameona cha mtema kuni humo Libya baada ya kukarishwa airport kwa masaa 16 bila huduma yoyote. Wakiwa wamefungiwa. Hakuna hata WIFI. Hii ni zile harakati za kila mara za Waarabu. Siku zote ukienda cheza na Waarabu ujue huwa ni wakatili sana katika games...
  11. kavulata

    Faida ya mabarafu kwenye recovery ya wachezaji

    Siku hizi ni rahisi kuona timu ngeni zikija na mapipa yake kwaajili ya kuweka maji yenye barafu (maji baridi sana) kwaajili ya wachezaji. Faida hizi ya maji baridi sana sio TU kwa wwchezaji lakini ni kwa watu wote wanaooga maji baridi sana. Ili mwili ufanyekazi zake vizuri unahitaji nguvu...
  12. Its Pancho

    Mpira wa Ulaya umekuwa wa kizembe sana nowdays kuliko Afrika

    I salute you kinsmen. Binafsi nimeanza kufuatilia soka la ulaya muda kidogo Liverpool die hard fans. Lakini tuseme ukweli ligi za ulaya kwa sasa uwezo wa wachezaji umekuwa mdogo sana na hakuna vipaji kabisa asilia yaani ile pure talent hakuna kabisa. Hasa hasa EPL nowdays huwa nafuatilia game...
Back
Top Bottom