soka na siasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwananyazala: Soka na Siasa haviwezi kutenganishwa!

    Wakuu, Hili nalo mkalitazame! ===== Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mdau maarufu wa soka nchini, Hussein Makubi Mwananyanza, amewashukuru kwa dhati wadau na wapenzi wa soka waliojitokeza kwa wingi kupiga kura mnamo tarehe 27 Novemba 2024, hatua iliyokipatia CCM ushindi wa...
  2. Hivi siku akatawala Rais ambaye ni mshabiki wa Simba atakubaliana na siasa uchwarwa kwenye mpira wetu

    Hapo vip!! Binafsi mimi nikiwa Rais alafu nimsikie waziri anayesema yanga ni timu ya serikali,nitamtembeza kichura kutoka Dar es salaam mpka kigoma. Kwanza atanikumbusha haya machungu ya namna Simba ilivyohujumiwa kwa mpira ambao umekaa kisiasa kabisa. Lakini pia nitamrusha kichura kwasababu:-...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…