soka tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MwananchiOG

    Benjamin Mkapa stadium kuwa Olympic Stadium badala ya Football stadium ni kuwadhulumu mashabiki wa soka Tanzania

    Sikumbuki mara ya mwisho kuona mashindano yoyote makubwa ya riadha au matumizi yoyote ya zile running tracks zilizopo katika dimba la Mkapa. Sanasana imekuwa sehemu ya viongozi kuzunguka kupungia mkono wananchi pindi wanapoapishwa. Ukiingia uwanja wa Mkapa kutazama mechi kama haukai walau...
  2. Gordian Anduru

    USHAHIDI WA PICHA: Wakuu wa Mikoa kuingilia soka Tanzania

    mwanajamvi jionee mwenyewe haya mambo yalikotokea
  3. Bwana kaduga

    Majadiliano ya kijamii kuhusu ununuzi wa magoli na athari zake katika soka tanzania

    Tupo na jamaa zangu kijiweni, tukifanya mazungumzo kuhusu soka. Ghafla mmoja wetu akatokea na kusema, "Unajua, mama anaupiga mwingi sana, hasa kwenye suala la kununua goli moja kwa milioni tano!" Mwingine alihitaji ufafanuzi, akahoji, "Anaweza kununua magoli kisha anayauzia wapi?" Kabla ya...
  4. Labani og

    Simba yapata mpinzani mkali kwenye nafasi ya pili

    Salaaaam wakuu Kwa jinsi ninavyoona singida Black stars wanavyowasha moto pale kileleni na kuwa namba Moja .......ninapata wasiwasi jinsi upinzani wa kugombania nafasi ya pili baina ya Simba na singida big stars utakavyokua mgumu Kwasababu ni lazima tu Yanga atakua no 1 kwenye msimamo then...
  5. Uhuru24

    Muda umefika serikali kuingilia kati kufanya maamuzi magumu kuliko kuiachia TFF pekee

    Kuna ulazima wa serikali kuingilia kati hata kushauriana na TFF hasa suala hili la mpira. Ilikuokoa timu ya taifa, mimi kwa mtazamo wangu tungeanza na kupunguza wachezaji wa kigeni angalau hata saba 7. Kukaa bench ni hatari sana kwa mchezaji yeyote yule, ingawaje hapa watu watakuja kusema...
  6. mdukuzi

    Serikali ilikosea kujenga uwanja wa Mkapa Temeke. Hongera KMC kwa uwanja mpya, mpira umesogezwa kwa wastaarabu

    Yanga wamekimbia Chamazi Mpaka leo sijui nani alisema uwanja wa Mkapa ujengwe Temeke jirani na uwanja wa Uhuru zamani Taifa. Haikuwa sahihi kurundika viwanja viwili vikubwa sehemu moja, hatuna uhaba wa ardhi nchini, Uwanja wa Mkapa ungejengwa Tanganyika Packers kwa Mwamposa. Mimi binafsi...
  7. L

    Endapo Yanga itaifunga Azam kesho ndani ya dakika 90 nitaamini kuwa Yanga wanashinda kwa uwezo wao na yanayosemwa ni majungu tu

    Kesho ni fainali baina ya Yanga vs Azam, mchezo utakuwa mgumu lakini mwepesi sana kwa Azam, kinachonipa matumaini ni kuwa wachezaji watano wa Yanga wanaowategemea yaani Aucho, Aziz Ki, Max Nzengeli, Pacome na Mudathiri au Duke ni wachezaji wa kawaida sana mbele ya viungo wa Azam, lakini kubwa...
  8. GENTAMYCINE

    Eli Sasii ni bonge la Mwamuzi ila ana matatizo makubwa mawili ambayo kakataa kabisa kuyaacha

    1. Hupenda Kukinga Kote Kote (Kwetu na Kwao) 2. Hupenda mno Kulazimisha 'Derby' iwe na ama Sare (ya Magoli) au Suluhu (bila ya Magoli) 3. Huwa ni Muoga na ana Maamuzi ya Kujishtukia na Kutotaka lawama kwa Kote ambako amekinga Na najua Mechi ya Kesho kwa tabia zake tajwa hapa juu iwe isiwe...
  9. vibertz

    Inawezekana tukawa tumenunua VAR kwaajili ya urembo

    Miezi kadhaa nyuma tulisikia taarifa za ujio wa VAR kwa Tanzania kwaajili ya kuboresha ligi yetu katika kusaidia utoaji wa maamuzi yenye utata uwanjani. Nimeshangazwa sana kwa kutokuona waamuzi watakaokuwepo kwenye chumba cha VAR siku ya tarehe 8 kati ya Simba dhidi ya Yanga. VAR ilipaswa...
  10. Mkalukungone mwamba

    Almas Kasongo: Bodi ya ligi itatoa adhabu kwa Maofisa Habari wa timu wanaochekesha na kushindwa kuzungumzia Mpira

    Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almas Kasongo amesema msimu watatoa adhabu kwa Maofisa Habari wa timu wanaochekesha na kushindwa kuzungumzia Mpira huku akizikumbusha klabu kufuata kanuni kwa kuajiri maafisa habari wenye elimu ya habari. “Kuna Muda unamsikiliza Ofisa Habari wa timu na...
  11. Baba Dayana

    Clement Mzize mtampa lini heshima yake

    Kama unajijua haufahamu soka vizuri usipoteze muda kusoma hili andiko. Tafuta kazi zingine ukafanye. Leo naandika na kumzungumzia Mzize kwa ajili ya “Watu wa mpira” Nawasikia mtaani huko mnasema Mzize anazingua, mara ooh! Mzize hafai. Leo nataka tuongee soka, leo ni mwendo wa ‘Facts after...
  12. realMamy

    Waandaaji wa Matamasha ya Michezo (Simba day na wananchi day) Ni wakati sasa wa kufanya Kikanda.

    Kutokana na ushabiki wa Mchezo wa Mpira kukua kwa kasi ni muhimu sana wakumbuke pia kufanya mikoani ili kuwapa raha mashabiki. Ningeshauri hata matamasha hayo yakafanyika kikanda na kuwa na mpangilio mzuri na wa Kisomi. Kama inashindikana basi kabla ya Tamasha kubwa yatangulie matamasha madogo...
  13. K

    Hongereni sana Yanga SC Timu ya Wananchi kwa Tamasha la jana la wiki ya Mwananchi

    Hongereni sana Yanga SC Timu ya Wananchi kwa Tamasha la jana mlifunika. Mlijaza viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru. Wachezaji walionyesha kandanda safi kwa asilimia 73 kwa 27. Pasi zao zilikuwa za uhakika na hata Makamu wa Rais alifurahishwa na kutamka ni timu gani kama Yanga. Mmefunika...
  14. L

    Ushauri wangu kwa viongozi wa Simba Sports Club kuelekea mechi ya tarehe 8 Agosti 2024 dhidi ya Yanga

    1. Hawa watu hawana timu, hakikisheni mnauonya uongozi wa uwanja wa Mkapa kuhusu kuwafungulia mageti ya pembeni Yanga SC jina la utani Utopolo ili waingie uwanjani, imekuwa tabia sasa Utopolo kupitia milango mingine mbali na ule wanaotakiwa kupitia wachezaji. Kuna mawasiliano huwa yanafanyika...
  15. mdukuzi

    Makamu wa Rais hakutumia busara kujitangaza kuwa yeye ni shabiki wa Yanga

    Sina taarifa za Marais wa nyuma kuwa walikuwa wanashabikia timu ipi, ila najua Nyerere alikuwa Yanga, Kikwete alikuwa Yanga, Magufuli na Samia ni Simba. Ila usingewasikia wakitamka kuwa upande wowote, Kikwete baada ya kustaafu ndio alijitokeza hadharani kwenye mkutano Diamond Jubilee na...
  16. chiembe

    Kwa heshima, naomba Simba na Yanga msapoti Pamba Day, Mwanza hata kwa kutuma kikosi cha pili

    TFF na serikali, hebu mlione hili ili tupate balansi, wakienda hawa, hata wacheze dakika 10, mtasisimua michezo huko, iwe Mbeya, Arusha
  17. L

    Rais Samia awabubujisha machozi ya furaha wana Yanga, awapigia simu Uwanja wa Taifa

    Ndugu zangu Watanzania, Kama kuna Mwanadamu anapendwa na Kukubalika kuliko Binadamu wote Barani Afrika, basi Binadamu huyo ni Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hassan. Mama anapendwa mpaka watu wanatokwa na kububujikwa na machozi ya furaha. Mama...
  18. Mycojkhan

    Mashabiki wa Simba SC Ubaya ubwela unaufanya ukiwa wap?

    Wanasimba hongereni kwa Tamasha zuri mmeujaza uwanja wa Mkapa yani ni full House najua Mnafuraha sanaa Kwa kuiona Timu yenu ikipata matokeo kwenye siku ya “simba dei”. Ubaya ubwela unaufanya ukiwa wapi? Soma pia: FT: SIMBA DAY 2024: Simba SC 2-0 APR | Mkapa Stadium | 03/08/2024
  19. Matteo Vargas

    'Tarehe 8 kuna wazee watapimwa umri mpaka watapike damu'

    Kwa hii kasi ya umeme ya hawa 'Gen Z' wa Simba kuna wazee siku ya tarehe 8 watapimwa umri hadi mpaka wakimbie mechi. Na kiufundi Simba ya sasa ipo aggressive sana, ipo na kasi sana mpaka wapinzani mapigo ya moyo yameanza kwenda mbio. Wanywa supu na wavaa vitenge jiandaeni kisaikolojia.
  20. Komeo Lachuma

    Ubaya ubwela 2024/25: Ovyo sana, ukichaa tu umejaa

    Inanikera sana. Na kuna wanayanga wengi wameingiwa na huu ujinga nao wanaitumia hii kauli mbiu. Jana nimetoka kulumbana na mtu kuwa aache ujinga. Kauli mbiu yetu inafahamika but why anatumia ya Simba. Yule kanijibu tena UBAYA UBWELA. Nikaona hamna mtu pale. Haya mambo sijaelewa akina Priva...
Back
Top Bottom