soko kariakoo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Rais Samia: Wafanyabiashara mlichoma moto Soko Kariakoo sababu nilizisema changamoto za uongozi uliokuwepo

    Wakuu, Alaaaah, kumbe wafanyabiashara walichoma soko la Kariakoo wenyewe? Hii ndio sababu hatujui ndani ya kilichokuwemo kwenye ripoti rya tukio la moto ule? ====== Moja ya mambo aliyosema mwenyekiti wa kariakoo katika risala yake ni kuhusu ziara ya Samia Kariakoo, ambako alisema Rais Samia...
  2. J

    Soko la Kariakoo kuchukua Wafanyabiashara 2500 na litatoa ajira 4000 ukarabati wafikia 71%

    Hii ni Habari njema kwa Wafanyabiashara wanaosubiri vizimba na Flemu Sokoni Kariakoo. Msimamizi wa Ukarabati Mh Kaijage amesema kuna ongezeko kubwa la vizimba na Flemu baada ya ukarabati mkubwa unaofanyika. Alikuwa akimweleza Mwenyekiti wa Bodi Hawa Ghasia. Source: ITV Habari ===== Update...
Back
Top Bottom