Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imetengaza fursa kwa wakulima na wauzaji wa mbaazi nchini, matokeo ya kupatikana kwa soko hili ni kuimarika kwa diplomasia ya uchumi kati ya Tanzania na India. Ikumbukwe mbaazi hizo zitaingia nchini India bila ushuru.
Hatuwezi kufika mwisho wa safari yetu kama tutasimama kila mahali kuwarushia mawe kila mbwa anayetubwekea.
Rais nimezisikia kelele zao, nimezisikia sauti zao pale kithalani wale waliolalamika bei ya mazao ipo chini Mkulima atafutiwe soko ndiyo hawa wanaopiga kelele bei ya mazao ipo juu.
Watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.