soko la papai

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwenye analima Papai atupe uzoefu wa soko la papai

    Naonaga kama hiki kilimo ni hatar kutokana na kua papai inaharibika haraka . Na pia haina matumizi mengi kama vile juice, au kuliwa mara nyingi ukilinganisha na matunda mengine soko lake likoje,,? Hayaozei shambani kweli
  2. Msaada: Soko la papai

    Habari wakulima na Wafugaji Mimi ni mkulima Mdogo wa mazao ya Matunda kama machungwa na passion ila nimejaribu na kilimo cha papai naona kinakuja vizuri. Nimeanza na miche 1000 ya kisasa na inakuja vizuri na imeanza kubeba, nimeanza kupata hofu ya soko maana kawaida ya papai ikikomaa ibatakiwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…