▪️Awapatia miradi ya Kiuchumi na kutunisha mfuko wa Kikundi.
▪️Wafanyabiashara wamshukuru kwa kuwajali na kuwaendeleza kiuchumi
▪️Wampongeza Rais Samia kuboresha miundombinu ya masoko Jijini Dodoma
📍Dodoma
Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini Mh. Anthony Mavunde ameahidi kuwaendeleza kiuchumi...
Kumekuwepo na changamoto kubwa ya uchomaji wa taka kwenye soko la sabasaba jiji Dodoma, nyakati za usiku.
Taka hizo ambazo ni mabaki ya majani ya migomba na mabaki ya matunda kutoka soko la "miti mirefu na PAG" imekuwa kero kubwa kwa sisi wakaazi wa uhindini.
Wahusika watusaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.