Nikiwa kwenye mizunguko yangu ya kibiashara mkoani songwe nimekutana na Jambo ambalo limeni shangaza kidogo Kama sio Sana
Tunduma Kuna soko lakimataifa la mazao linaitwa mataifani
soko hili Lina patikana km.5 kutoka ulipo mpaka wa Tanzania na Zambia
Lakini Tena kunasoko lingine la mazao lipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.