Nikiwa kwenye mizunguko yangu ya kibiashara mkoani songwe nimekutana na Jambo ambalo limeni shangaza kidogo Kama sio Sana
Tunduma Kuna soko lakimataifa la mazao linaitwa mataifani
soko hili Lina patikana km.5 kutoka ulipo mpaka wa Tanzania na Zambia
Lakini Tena kunasoko lingine la mazao lipo...