sokoine university of agriculture

Sokoine University of Agriculture (SUA) is a public university in Morogoro, Tanzania, specializing in agriculture. The university is named after the country's second prime minister Edward Sokoine.
Historically, SUA traces its roots to 1965 when it emerged as a program of the then-international University of East Africa. When that was dissolved in 1970, the Tanzanian agriculture program fell under the purview of the University of Dar es Salaam. Finally, it was spun off as a university in its own right in 1984.
SUA has five campuses, and contains five academic colleges and two schools. It provides bachelor's, master's, and PhDs in a variety of fields, many of which center around agriculture. At least two Tanzanian politicians have been affiliated with the university.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    KERO Chuo cha SUA Campus ya Mazimbu kinatiririsha maji taka kwenye mifereji ya barabara ni zaidi ya Mwaka sasa

    Chuo cha SUA Campus ya Mazimbu kinatiririsha maji taka ya chooni kwenye mifereji ya barabara ni zaidi ya Mwaka sasa. Ukipita ukielekea maeneo ya Lukobe ni harufu tupu, je angekuwa mtu binafsi angeruhusiwa kufanya hivi? Mamlaka husika zichukue hatua.
  2. A

    DOKEZO UBORA WA ELIMU inayotolewa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) unatia shaka

    Wakuu, Heri ya mwaka mpya 2024. Barua hii ni taarifa kuhusu ubora wa elimu inayotolewa katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kwa ufundishaji na utoaji wa masomo ya Shahada za elimu zenye masomo ya Fizikia yaani, BSc. Education (Physics and Chemistry), BSc. Education (Physics and...
  3. Hot bird

    DOKEZO TCU na TAKUKURU itazameni rushwa iliyotawala Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)

    Ninaandika mambo haya kwa masikitiko kutokana na mustakabali wa elimu ya nchi inavyoharibiwa na baadhi ya viongozi kutojali. Leo nitatoa habari za hali ya rushwa na kutojali ubora wa elimu iliyotawala SUA, hiki ni chuo kikuu kilichopo hapa Morogoro, chenye kampasi kuu Magadu na kitivo kingine...
Back
Top Bottom