solomon mwalabhila

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Replica

    Nimependa wasifu wa Sauli, umeenda moja kwa moja kwenye maisha

    Jina Kamili: Solomoni Sauli Mwalabhila Kuzaliwa: August 01, 1978 Mahali: Mbeya Elimu Elimu ya Msingi: Shule ya Msingi Chunya kati(1988-1995) Kazi Alijiajiri kuanzia mwaka 1997, alianza kujishughulisha na biashara ya madini na uchimbaji na mabasi makubwa yaendayo mikoani. Familia Alifanikiwa...
  2. O

    Familia ya Sauli yaeleza miradi watakavyoisimamia, watoto watakavyoishi

    Familia ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabhila imesema kumpoteza mpendwa wao huenda baadhi ya miradi ikayumba hususan ya mabasi huku ikisisitiza imejipanga kusimamia vyema migodi ya dhahabu ili kuwasaidia watoto wake. Mwalabhila maarufu kwa jina la Sauli...
  3. Damaso

    Serikali chunguzeni kwa umakini kifo cha Solomon Mwalabhila

    Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabhila amefariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea Mlandizi mkoani Pwani. Akizungumza na kwa njia ya simu na Mwananchi Digital Agosti 4, 2024 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amesema Mwalabhila amefariki leo baada ya gari lake...
Back
Top Bottom