somanga

Somanga Thermal Power Station is a 7.5 MW (10,100 hp), natural gas powered, electricity generating power station in Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. Kazi ya Urejeshaji wa Miundombinu Somanga Inakamilishwa, Nguvu Yaelekezwa SONGAS

    KAZI YA UREJESHAJI WA MIUNDOMBINU SOMANGA INAKAMILISHWA, NGUVU YAELEKEZWA SONGAS. Wizara ya Ujenzi, Timu ya Wataalam kutoka Wakala ya Barabara (TANROADS) ikishirikiana na Makandarasi, wanaendelea na zoezi la urejeshaji wa Miundombinu ya Barabara katika eneo la Songas ambalo nalo lilikatika...
  2. Hidaya akata mawasiliano, daraja lasombwa Somanga

    Mawasiliano kati ya Dar na kusini mwa nchi yamekatika baada ya daraja lililopo Somanga kusombwa na maji. Ukiachana na daraja hilo, zaidi ya madaraja manne wilayani Kilwa, kati ya Lindi na Dar es Salaam yamekatika. Hali hiyo imetokana na madhara ya kimbunga Hidaya kilichosababisha mvua kubwa...
  3. TANROADS inaendelea na kazi ya kurejesha mawasiliano Barabara ya Somanga

    Timu ya wataalamu kutoka Wakala wa Barabara (TANROADS) wanaendelelea na kazi ya kurejesha mawasiliano ya barabara katika eneo la Somangafungu Mkoani Lindi kutokana na daraja hilo linalounganisha barabara kuu ya kutoka Dar es Salaam na Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara kukatika na kusababisha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…