Songoro Marine ndio kampuni pekeee (local) iliyokuwa inapewa tenda za kutengenza meli na vivuko kila mahali nchini Tanzania (sijui walikuwa wanatumia mbinu gani)
Songoro Marine Mkazi wa Ilemela Mkoani Mwanza, ndiye aliyepewa kazi ya kutengeneza Meli mbili za Ziwa Nyasa, ambazo zilirudishwa...