spark

Apache Spark is an open-source distributed general-purpose cluster-computing framework. Spark provides an interface for programming entire clusters with implicit data parallelism and fault tolerance. Originally developed at the University of California, Berkeley's AMPLab, the Spark codebase was later donated to the Apache Software Foundation, which has maintained it since.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Spark plug

    Wakubwa naombeni mtu yeyote au fundi anaeweza nitafutia plug aina hii kwa dar najua mikoani haiwezi patikana Picha nimeweka hapo chini
  2. Simu zinazotumia Teknolojia ya "3D Flaslight Level Camera"

    Katika ulimwengu huu wa teknolojia ya simu za mkononi zenye muundo wa kupangusa zinazobadilika kila wakati kulingana na utandawazi, TECNO Spark 10 pekee ndio simu iliyopiga hatua mbele katika safari hii kwa kuwawekea kipengele cha kisasa kabisa kwenye camera ya mbele kiitwacho “3D FLASHLIGHT...
  3. Phone4Sale Tecno spark 7 inauzwa

    Simu aina ya spark 7 inauzwa sh. 165,000/= Ina miezi minne tu, Toka inuniliwe risiti IPO karibu sana 0783755971
  4. Phone4Sale Tunauza simu aina mbalimbali

    Sony Xperia XZ1 || 4GB RAM || 64GB Storage || Free Cover & USB || Used From Dubai || Price 220,000/= Call: 0765 683 574 Instagram mbinda_smartphones
  5. Tecno imekabidhi zawadi ya milioni 5 za kitanzania kwa mshindi wa promosheni ya spark 8c

    Kampuni ya simu ya TECNO imehitimisha rasmi promosheni ya simu ya SPARK 8C baada ya kukabidhi zawadi ya milioni 5 pesa taslimu za kitanzania kwa mshindi anayefahamika kwa jina la Mohammed Khatibu. Meneja mauzo TECNO...
  6. Unawezaje kuzijua spark plug mbovu?

    Kuna vitu kadhaa vinavyokuwezesha useme spark plug ni mbovu au lah. Hebu tuziangalie hapa haraka haraka. 1. Nyufa kwenye Insulator Ukiikuta spark plug ina nyufa kwenye Insulator ibadilishe. Spark ikiwa na cracks kwenye Insulator ina maana kuna muda inaweza kuleak voltage na kuignite...
  7. Phone4Sale Tecno Spark 5

    Tecno Spark 5 Inauzwa Condition: Used/ looking new Ram 2GB Rom 32GB Front Camera 8MP Rear Camera 13MP Battery 5000 mAh Bei 230,000 Mawasiliano 0768776716
  8. Phone4Sale TECNO Spark 4 for sale, Mlimani City DSM

    Tecno spark 4. ram 2 rom 32 bei 145,000 0713096076
  9. Zipi ni Spark Plug sahihi kwa gari lako?

    Zipo spark plug za aina nyingi sana. Yapo mambo mengi sana yanayoweza kutofautisha spark plug za gari na gari jingine. Mambo hayo ni 1.Material yaliyotengeneza hizo plug (iridium copper n.k) 2. Urefu wa thread (nyingine zinakuwa na thread ndefu nyingine fupi) 3. Gap (nyingi zina gap la...
  10. Kampuni ya simu TECNO yazindua rasmi TECNO Spark 5pro

    Kampuni ya simu TECNO yazindua rasmi TECNO Spark 5pro. Uzinduzi wa simu hiyo umefanyika Kidimbwi Beach tarehe 18/10/2020 na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali akiwemo komediani maarufu Jaymond na wadau wa simu za TECNO. Uzinduzi wa Spark 5pro ulifanyika katika mfumo wa party ambapo DJ...
  11. Tsh.50,000 kwa Tsh.500,000 na Tecno spark 5pro, pre oder sasa!

    Pata nafasi ya kujishindia zawadi yenye thamani ya zaidi ya shillingi laki tano-500,000tsh lakini pia jinyakulie zawadi nyengine kama vile TECNO H2 earphone na TECNO S1 wireless speaker pale tu utakapoingia katika maduka ya TECNO na kufanya malipo (pre-order) ya awali sh.50,000 kwa jili ya simu...
  12. Phone4Sale Tecno spark 3 pro inauzwa

    Used tecno spark 3 pro Android version 9 Ram 2gb Internal memory 32GB Box na risiti vipo Eneo Temeke (Dar) Contact 0712518770 Bei- 200,000
  13. S

    Yupo wapi huyu SPARK msanii aliyetamba na nyimbo yake ya USINIACHE?

    Habari nataka kujua huyu msanii SPARK yupo wapi? Je, anaendelea na muziki au ameacha? Nakumbuka alitamba sana na Nyimbo yake ya USINIACHE?
  14. Nauza Tecno Spark 4 mpyaaa bei ya kutupa

    Tecno spark4 2gb Ram 32gb storage 4G network Camera tatu yuma Bei Tshs 200,000 Simu ni yangu ninashinda na pesa 0684329230 nipo Dsm
  15. Tecno spark 5, simu yenye kamera 5 kuzinduliwa

    Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO, inatarajia kuzindua simu yake mpya aina ya TECNO SPARK 5 yenye kamera 5 Ijumaa hii kwa njia ya mtandao, ikiwa ni mara ya pili kuzindua kwa njia hiyo ya mtandao ambayo kwa mara ya kwanza ilitanguliwa na TECNO CAMON 15. Akizungumza kwa njia ya simu leo jijini...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…