special thread

The Unified Thread Standard (UTS) defines a standard thread form and series—along with allowances, tolerances, and designations—for screw threads commonly used in the United States and Canada. It is the main standard for bolts, nuts, and a wide variety of other threaded fasteners used in these countries. It has the same 60° profile as the ISO metric screw thread, but the characteristic dimensions of each UTS thread (outer diameter and pitch) were chosen as an inch fraction rather than a millimeter value. The UTS is currently controlled by ASME/ANSI in the United States.

View More On Wikipedia.org
  1. Safari za Maulid Kitenge Marekani

    Hivi huyu mwamba huwa ana makazi huko? Au anafanya biashara gani huko kwa Joe Biden? Maana kwa mwaka mmoja anaweza kwenda Marekani hata mara nne au tano! Juzi tu hapa kabeba familia nzima kwenda nayo huko akiwemo mama yake mzazi. Jamaa yuko vizuri! NB: Mapovu pelekeni mkafulie
  2. S

    STREET KNOCKOUTS special thread

  3. Ingekuwaje kama...Special Thread

    Ingekuwaje kama... 1. Binadamu akila chakula mara moja halitena mpaka mwisho wa maisha yake 2. Muda wote upo macho hamna usingizi 3. Jua wala umeme haupo duniani 4. Viumbe wote ni jinsia moja 5. Hakuna matajiri wala masikini 6. Binadamu hana tumbo la kuhifadhia chakula 7. Hakuna...
  4. East Africa DJs & Mcs current events special thread✅

    a thread for all DJs and Mcs around East Africa to show their performance content and cross share ideas among us during this hard times.welcome all🙏🙏🙏
  5. Mbeya kwanza FC special thread

    Kama wewe ni mpenzi wa timu hii ya Mbeya iliyopanda daraja msimu huu karibu tujadili mambo gani muhimu yanatakiwa ili timu hii isishuke daraja.Katika maandalizi ya kuelekea ligi kuu timu hii imechukua kombe liloanzishwa na mkuu wa mkoa wa Mbeya baada ya kuifunga timu ya Ihefu fc.
  6. Atletico Madrid (special thread)

    YOUR WELCOME FANS
  7. Rais Wa JMTZ saivi yuko wapi, Dar au Dom!? Special Thread..

    Wataalam wa AVIATION INDUSTRY watipigie hesabu... Yani How!?? Bomberdier au Dreamliner linapaa juu .. Hovyohovyo.. Tupeni bili..kodi.... Je!? Ni kodi za mafukara ndo zaMrusha mama!?? Lakini ile ndege ya Rais iko wapi!? TuloambiwA hata tule nyasi..!!!?
  8. D

    Halotel anzisheni special thread

    Halotel anzisheni special thread tuweze kuwafikia na kutoa malalamiko yetu dhidi ya huduma zenu mbaya. Mfano. Ukipiga simu huduma kwa wateja haipokelewi. Unaweza kununua bando ikachukua muda mrefu kabla huduma haijarejeshwa. Kumbukeni wengi tulihamia halotel baada ya kampuni kubwa kujisahau...
  9. Special Thread: Picha za Wanaume wenye mvuto World wide. Tupia picha Only Handsome men

  10. Big Brother Naija 2021: BBNaija season 6 - Special thread

    Msimu mpya wa onyesho kubwa na la ukweli barani Afrika, Big Brother Naija, unaanza kuonyeshwa leo Jumamosi na Jumapili na waandaaji wakiahidi onyesho kuwa kubwa na bora zaidi kuliko hapo awali. Kutoka kwa onyesho la uzinduzi mara mbili hadi nyumba iliyofanyiwa marekebisho. Mwongozaji wa...
  11. T

    Taarifa za usajili wa Wachezaji mbalimbali kwa mwaka 2021/2021 special thread

    Kwema wadau, Katika thread hii tutakuwa tukipeana Habari za usajili wa wachezaji kwa msimu 2021/22 kutoka nchi mbalimbali na ligi mbalimbali duniani. Kuna baadhi ya timu zimeshakamilisha usajili wa baadhi ya wachezaji ambapo: ULAYA, David Alaba from Fc Bayern to Real Madrid Memphis Depay...
  12. D

    Zanzibar | Special Thread

    Nimehisi nijaribu kuanzisha huu uzi kwa ajili ya kupeana support ya baadhi ya changamoto. Kwa wale wote wanaoishi Zanzibar au wanaopanga kwenda kuishi Zanzibar, Au kwa wale wanaotaka kwenda kwa ajili ya matembezi na menginayo. Hii thread tutasaidiana kwa ajili kuelekezana mambo tofauti ikiwemo...
  13. JF special thread kwaajili ya Facts

    Habari zenu wana JF. Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu, dhumuni la Uzi huu ni kupeana Facts au kujuzana mambo mbalimbali yanaweza kuwa ya kustaajabisha au la lakini hapo tunakuwa na lengo moja kuu la kujifunza na kuburudika pia kwa kujuzana mambo ya kushangaza. Karibuni nyote...
  14. Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Nimeonelea nianzishe hii section ili watu tuwe tunapeana maneno ya hekima. Huu ni mwanzo na ruksa kuendeleza thread (mada) hii ili mradi uwe umejisajili. You may use any of the two official languages, Swahili or English. Karibu +++++++++++++++++++++++++++++++++++++ If we don't change, we don't...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…