spika wa bunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    PICHA: Namna Spika wa Bunge la Cuba anavyofanana na M|Kiti Steven Wassira

    WASIRA AZUNGUMZA NA SPIKA WA JAMHURI YA CUBA, OFISI NDOGO YA CCM LUMUMBA.* Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Ndg. Stephen Wassira amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba Esteban Lazo Hernandez na ujumbe wake waliofika...
  2. Carlos The Jackal

    Dkt. Tulia Ackson anapopuuza kulipa ada ya Uanachama TLS sio jambo la kufurahia

    Ni jambo la Aibu Kwa Kiongozi Mkubwa wa namna hii hapa Nchini na Duniani. Nashangaa likawa ni suala lilowachekesha makutano walocheka na kupiga makofi wengine kutaka kuangukia chini Kwa kucheka tu. Hii inaonyesha namna gan hapa nchini Kila kitu kinachukuliwa poaaa poaa tu Kwa Viongozi ma Jamii.
  3. Mindyou

    Pre GE2025 Spika Tulia: Hakutakuwa na ugumu wowote kwenye kampeni za mwaka huu. Mengi yaliyokuwa yanalalamikiwa, sheria zimebadilishwa

    Wakuu, Tulia anasema hana presha yoyote kwenye Uchaguzi Mkuu 2025. Katika Mahojiano Maalum aliyofanya na ManaraTv Dkt.Tulia ameeleza kuwa hakutakuwa na ugumu wowote kutokana na mambo yaliyokuwa yakilalamikiwa yamefanyiwa maboresho ikiwemo ubadilishaji wa baadhi ya sheria.
  4. M

    Godbless Lema atangaza kumuunga mkono Spika wa Bunge la Wananchi Celestine Simba Uenyekiti BAWACHA Taifa

    Anaandika Godbless Lemma Hiki ndicho achoandika Nabii wa Mungu Godbless Lemma katika ukurasa wake wa X. "Nawatikia BAWACHA Uchaguzi Mwema na pia nakutakia kila la heri Dada Celestine Simba. Nitafurahi nikisikia umeshinda kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake CHADEMA." Soma Pia: Tundu...
  5. M

    Pre GE2025 Spika wa Bunge la Wananchi Selestine Simba atangaza kumuunga mkono Lissu huku akitangaza kugombea Uenyekiti BAWACHA Taifa ili kujenga CHADEMA mpya

    Kama Kuna kitu BAWACHA wamepata na wanapashwa kujivunia basi ni huyu Mama, Kwa ujasiri alionao huyu mama ni kama Simba Kweli Kweli hakika ni Mama anayestahili kufanya kazi na jasiri TUNDU LISSU. BAWACHA MUNGU AWAONGOZE VEMA
  6. robbyr

    Waziri Simbachawene umedharau kauli ya Spika?

    Chanzo: mtandaoni George Simbachawere ni dharau kwa spika au maamuzi yako? Kuna vijana wamejitolea kwenye shule za serikali zaidi ya miaka 3 hadi 4. Spika aliomba kufanyike utafiti ili wawe kipaumbele lakini kwa kauli yako bungeni ulisema zoezi lina changamoto. Kwangu hapana. Kwani kuna...
  7. Mindyou

    Spika wa Bunge la Marekani agoma kumpa Biden Dola Bilioni 24 kama msaada kwa Ukraine. Asema Trump ndo ataamua hatma ya Zelensky

    Wakuu, Tunapoongelea mambo ya demokrasia na uwajibikaji basi bila shaka Marekani inakuwa ni nchi mama. Hivi karibuni Speaker wa Bunge la Marekani amekataa ombi la Rais Joe Biden la kupeleka msaada wa Bilioni 24 nchini Ukraine. Mike Johnson ambaye anatokea kwenye chama cha Republican amesema...
  8. Waufukweni

    Spika wa Bunge amtangaza rasmi Prof. Kindiki kama Naibu Rais kwenye Gazeti la Serikali

    Spika wa Bunge la Kitaifa, Moses Wetangula, ametangaza rasmi Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais kupitia Gazeti la Serikali, licha ya kuwepo kwa amri ya mahakama iliyotolewa ili kusitisha mchakato huo. Hii inakuja wakati ambapo mvutano wa kisheria unaendelea kuhusiana na uteuzi huo, lakini Spika...
  9. 4

    Leo niungane na Tulia( spika wa bunge feki tz )

    Wakuu Jf amani ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake . Kweli maccm plus machawa ni wapuuzi, ila leo nipo Tulia kwa kile amekionesha, japo kipo na mjadala mkubwa katika mijadala mbalimbali katika mitandao ya kijamii . OK itoshe kusema binafsi alijibu vizuri tu ,ukiweka siasa pembeni . Sasa...
  10. kwa-muda

    Sijawahi kumkubali Tulia Ackson toka awe Spika wa Bunge la Tanzania, lakini nimegundua she is smart

    Mimi si kati ya watu wanaomkubali Mh. Tulia kutokana na ubabe na ambavyo huendesha bunge. Nahisi ni kutokana na siasa za nchi ambapo mtawala huwa Mungu mtu na sheria ni maamuzi ya mtawala. Kutokana na kutokumkubali hata majibu yake ya IPU sikutaka hata kusikiliza wala kutazama nilikuwa nasoma...
  11. JanguKamaJangu

    Spika wa Bunge apitisha hoja ya Kumtoa madarakani Naibu Rais kujadiliwa Bungeni

    Baada ya wabunge 291 kuunga mkono hoja ya Makamu wa Rais nchini Kenya Rigathi Gachagua kuondelewa madarakani, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kenya, Moses Wetang'ula ameidhinisha hoja hiyo kujadiliwa akisema sababu zote 11 zinakidhi vigezo vya kikatiba. Hoja hiyo imewasilishwa bungeni jioni hii na...
  12. B

    Spika wa Bunge la Tanzania Tulia Akson Mwansasu bado haamini kama Polisi Tanzania wanahusika na utekaji na mauaji ya Wanachi

    Akiongea na na Watangazaji wa kipindi cha asubuhi Good Morning cha Wasafi radio Septemba 27, 2024 Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Akson Mwansasu ameshangaa Jeshi la Polisi kuhusishwa na utekaji na mauaji ya raia wema Hivi karibuni vijana watatu wa chama cha demokrasia na maendeleo...
  13. Q

    Spika wa Bunge Tulia Ackson anashangaa kwanini hadi leo polisi bado inamshikilia Kada wa CHADEMA Kombo Mbwana

    Akiongea na Wasafi FM leo Spika wa bunge Mh. Tulia Ackson amesema anashangaa kwanini hadi leo hii polisi bado inamshikilia Kombo Mbwana kada wa CHADEMA. Mbwana alipotea tangu June 15 baada ya kutekwa nyumbani kwake na watu wasiojulikana huko Tanga, awali polisi ilikana kuwa naye baadae ikakiri...
  14. Roving Journalist

    Dkt. Tulia Ackson amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 17 Septemba 2024, amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu, Saqr Ghobash, katika Ofisi za Bunge hilo zilizopo Abu Dhabi. Katika...
  15. Comrade Ally Maftah

    Je unamjua DR Tulia Ackson, Mwanasheria msomi kama Wanasheria wanavyojipalilia?

    JE UNAMJUA DR TULIA ACKSON, MWANASHERIA MSOMI KAMA WANASHERIA WANAVYOJIPALILIA? MAKALA HII IMEANDIKWA NA Comrade Ally Maftah (PACOME WA MCHONGO) Dr Tulia amezaliwa tar 23 November 1976 katika Kijiji cha Bulyaga kilichopo Tukuyu, Mbeya. katika mpangilio wa nyota huyu anaangukia kwenye Mshale...
  16. Tlaatlaah

    Kwa neema na baraka za Mungu nitakua spika wa bunge baada ya Dk. Tulia Akson Rais wa Shirikisho la Mabunge duniani atakapomaliza muda wake miaka ijayo

    nina uhakika na hilo kwa baraka na Neema za Mungu. sitanii, sina mazoea na sina mzaha hata kidogo kwenye malengo na matarajio yangu muhimu ya msingi katika kutekeleza kusudi la Mungu ndani ya maisha yangu humu duniani kwa manufaa ya wananchi wote Tanzania. pamoja na kwamba nimebobea zaidi na...
  17. J

    Pre GE2025 Naibu Spika Mussa Zungu awaasa wabunge wasiogope kurudi majimboni. Awataka wapange maneno ya kwenda kusema majimboni

    Naibu Sipika wa Bunge, Mussa Zungu amewataka wabunge wasiogope kurudi majimboni kwani kuna miradi mingi ya kuzungumzia na kuwa wameonyesha wana sifa za kurudi bungeni 2025. “Niwapongeze wabunge kwa kazi nzuri mliyofanya kipindi hiki chote ambacho tuko bungeni, mmeonyesha umahiri wenu na...
  18. I

    Tulia wewe ni Spika wa Bunge au ni Spika wa Serikali?

    Leo ni mara ya pili unazuia wabunge kujadili hali hii mbaya ya utekaji na mauaji ya viongozi wa vyama vya upinzani na wananchi wa kawaida wakiwemo watoto! Mbaya zaidi unaisemea serikali kuliko Waziri Mkuu na mawaziri wengine. Hivi unajua wajibu wako unapokuwa hapo kwenye kiti cha Spika? Wadhifa...
  19. JanguKamaJangu

    Mpina afungua kesi dhidi ya Spika wa Bunge, Waziri wa Fedha, Waziri wa Kilimo, Kamishna wa TRA, AG na Makampuni ya kuagiza Sukari

    Mpina awafungulia kesi Spika wa Bunge, Waziri wa Fedha, Waziri wa Kilimo, Kamishna wa TRA, AG na Makampuni yaliyopewa tenda ya kuagiza Sukari Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina amefungua kesi mbili Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ambapo kesi ya kwanza ni dhidi ya Spika ambapo anahoji juu...
  20. Analogia Malenga

    Spika Tulia Ackson: Mtu akimsema vibaya Rais nyooka naye, akinisema vibaya Nyooka naye

    Wakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM. Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke alisema wao kazi yao ni kuwashugulikia wakosoaji na wazee watawaombea radhi kwa watanzania. Sijui...
Back
Top Bottom