sportpesa

  1. Pdidy

    Yanga mdhamini Sportpesa, Simba Mbet endelea kuzibetia mwanawane...

    Unajua wadhakini wa hizi timu Simba Mbet Yanga Sportpesa Endelren kuzibetia GSM ajaja hapo
  2. Mturutumbi255

    Je, Clouds Media Imevunja Sheria kwa Kuonyesha Simba na SportPesa Pamoja?

    Kama picha inavyoonyesha hapa chini,tunatambua kwasasa Timu hizi mbili Simba na Yanga zina wadhamini wao tofauti kabisa.Simba kwasasa inadhaniwa na M-bet na Yanga inadhaniwa na Sportpesa. Kitendo cha Clouds kupost picha huku ikionyesha timu zote mbili zinadhaminiwa na Sportpesa kitu ambacho sio...
  3. Jamii Opportunities

    Creative Designer at SportPesa March, 2024

    Position: Creative Designer Department: Marketing Reporting Line: Head of Marketing Duty Station: Dar Es Salaam Industry: Sports Betting Essential Function The Creative Designer will be responsible for overall design, provide visual material for print and digital platforms. As a creative...
  4. Kilimbatzz

    Kuna mtu aliyefikisha timu kumi na tatu kwenye jackpot ya Sportpesa?

    Miye nimefikisha tisa,Ile iliyopita nilifikisha sita Kuna mdau humu aliyegonga kumi na tatu humu!!? Maana siyo Kwa droo zile aisee
  5. Jamii Opportunities

    Head of IT at SportPesa Limited

    Position: Head of IT Department: IT Reporting to: CEO Duty Station: Dar es Salaam Industry: Sports Betting Key Duties and Responsibilities: Lead the IT department and oversee all operational activities, ensuring smooth functioning of the IT infrastructure and services. Develop and implement...
  6. GENTAMYCINE

    Wana Yanga SC hatutaki Kudanganywa na Pesa za Bonasi za SportPesa tunataka 'Vyuma' Kusajiliwa kama vya Simba SC

    GENTAMIYCINE nikiwa kama Mshabiki na Mwanachama wa Yanga SC natoa ONYO KALI kwa Uongozi wa Yanga SC kuacha Kutuzuga kupokea Fedha za Bonus ili Mashabiki tusiongelee Usajili na Ukata mkubwa ulioko sasa Klabuni ambao Unafichwa ili tusichekwe na Simba SC wenye Hela na wanaosajili Vyuma hasa kweli...
  7. SAYVILLE

    Tukilimaliza la Feisal Salum tulirudie la SportPesa

    Wakati mgogoro wa Yanga na Feisal Salum ukionekana ukienda kumalizika, tukumbuke pia kulikuwa na mgogoro mwingine wa kimkataba kati ya Yanga na mdhamini wao mkuu SportPesa. Ilionekana kutokana na ratiba ngumu za mashindano, mgogoro wa Yanga na SportPesa uwekwe pembeni kwanza hadi msimu...
  8. SAYVILLE

    Hersi akiri Yanga imekiuka mkataba na SportPesa

    Wakati mazungumzo yakiendelea kuhusiana na hatma ya mkataba kati ya Yanga na mdhamini wao SportPesa, Rais wa Yanga Hersi Said amekiri kuwa baadhi ya vipengele vilivyokuwa vinaibana Yanga wamevikiuka katika mkataba wake na SportPesa. Akihojiwa na kituo cha Television cha Clouds, Hersi amesema...
  9. Lupweko

    SportPesa yaonyesha uwezekano wa Yanga kufungwa na US Monastir ni mkubwa

    Wadhamini wa Yanga hawana imani na timu yao
  10. S

    Yanga inasikitishwa na Tamko lililotolewa na Mdhamini Sportpesa

  11. Mr mutuu

    Uchambuzi wa mgogoro wa kimkataba kati ya Yanga SC na kampuni ya Sportpesa

    Wasaalam, Kila siku tumekua tukisema hakuna kitu kibaya kama kufanya mikataba ya kisirisiri, tatizo Hili kubwa halipo kwenye mpira tu Bali hata kwenye mikataba ya kiserikali, wananchi ndio tuna dhamana na nchi yetu na ndio walipa Kodi lakini watu wachache wanaingia mikataba au mikopo kisirisiri...
  12. OKW BOBAN SUNZU

    SportPesa: Yanga walituzunguka, usiku wakatangaza mdhamini mpya

    Maelezo ya SportPesa Sisi tunajua kuwa hatua ya makundi hatuwezi kukaa kwenye jezi za Yanga na tulijadiliana cha kufanya ikiwamo kuwapa LiveScore ambayo walisema inahusika na beting na imekataliwa na CAF, tukaomba ushahidi wa maandishi kwa kujua hii inaonyesha matokeo ya mechi na sio kubeti,”...
  13. kavulata

    Mkataba wa sportpesa na Yanga unaruhusu haya?

    Visit Tanzania ni tangazo ambalo linapaswa kufanywa na idara ya utalii na tanapa ili kuvutia wageni kuja Tanzania kuona vivutio vyetu. Matangazo kama haya huwaga na bajeti yake tena kubwa TU kwenye sekta husika. Je, mkataba unamruhusu sportpesa kuichagulia Yanga nini Cha kuweka kwenye jezi yake...
  14. JanguKamaJangu

    Mkataba wa Yanga na Sport Pesa waingia mdudu baada ya Yanga kutambulisha mdhamini mpya

  15. Dong Jin

    Hii ndio tofauti kubwa kati ya mkataba wa "sportpesa" kwa Yanga na "m-bet" kwa simba

    Mmoja ni kiprofeshino na mwingine wa chuplichupli.... Mfano wa hundi ya malipo ya sportpesa kwa Yanga Mfano wa hundi ya malipo ya m-bet kwa simba Nadhani hapo mmejionea nani ana mkataba wa ukweli na nani katupiga changa la macho🥳🥳🥳🥳
  16. C

    kwa nini sportpesa inasumbua ku login?

    kwema wakuu? kwa wale tunaopenda kubet naomba msaada najribu ku login sportpesa inakataa na username na password nimeziandika vizuri tu. Sijajua tatizo liko wapi
  17. Kurunzi

    Yanga FC yaingia mkataba mpya na SportsPesa wa miaka 3 wenye thamani ya Tsh Bilioni 12

    Yanga leo inakwenda kuweka historia nyingene, Futilia live hapa Ni mKataba wenye thamani ya tshs bilioni 12 na Milioni 300 kwa miaka 3, Kila Mwaka Yanga itakuwa inapata bilioni nne, pia yanga akichukuwa ligi milioni 150, na ikifika Fainali FA itapata Tshs Milioni 75. --- Mabingwa wa...
  18. JanguKamaJangu

    Simba yatangaza rasmi kumaliza mkataba na SportPesa, mdhamini mpya mbioni kutangazwa

    Klabu ya Simba imekiri kuwa mkataba wa udhamini wa jezi kati yao na SportPesa umeshamalizika na kwa sasa wapo katika mazungumzo ya mkataba mpya na mdhamini mwingine. CEO wa Simba, Barbara Gonzalez amesema: “Mkataba wa SportPesa uliisha tangu Mei 11, 2022 lakini kibinaadamu tunaendelea hadi Juni...
  19. pantheraleo

    SportPesa Wazindua Supa Jackpot Ya Bilioni Moja kwa 1000

    Cheza sasa kwa 1000 ushinde Bilioni 1 na SportPesa. Ni Supa Jackpot Ya Bilioni Moja kwa 1000. Jackpot mbili kila wiki za SportPesa!. Dar es Salaam. 25 Mei ,2022. KAMPUNI ya Michezo na Burudani SportPesa leo imezindua rasmi Jackpot mpya inayoitwa Supa Jackpot kama moja ya huduma yao nyingine...
  20. AKILI TATU

    Voice from within ya ndugu Pascal Mayala ni kweli. Hili limenikuta leo kwenye jackpot ya sportpesa

    Ndugu wanabodi kwanza niwape salamu, lakini kipekee nimpe salamu za heshima ndugu yetu hapa jamvini Pascal Mayalla , ambapo amekuwa kitujuza mambo mbalimbali haswa mada zake za Voice from within, binafsi nimekuwa shabiki wake bila kujali mada hizo zinamrengo gani. Bila kupoteza muda, kama...
Back
Top Bottom