in this life everyone has something to offer.
Katika haya maisha kila MTU anacho cha kutoa ambacho kinaweza kubadilisha maisha ya MTU mwingine.
Mfano mateja , - hawa sasa hivi wanaokota chupa na kwenda kuuza
Ikiwa utawatumia waweza kuwa na eneo la kununua chupa na ukapata hela .
Walevi -...
1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine.
2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani kama jambo sio dharura.
3. Ukipigiwa simu baada ya maongezi, usikate simu... Acha akate aliyepiga.
4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.