Stand-up comedy is a comedy performance and narrative craft whereby a comedian communicates to a live audience, speaking directly to them through a microphone. The performer is commonly known as a comic, stand-up comic, comedian, comedienne, stand-up comedian, or simply a stand-up. Stand-up comedy is a dialogic monologue, or a grouping of humorous stories, jokes, and one-liners, typically called a shtick, routine, act, or set. Stand-ups may fuse props, music, magic tricks, or ventriloquism. Stand-up comedians perform quasi-autobiographical and fictionalized extensions of their offstage selves.
HONGERA MBUNGE MSOMI PRISCUS TARIMO BINGWAA
Baada ya mkwamo wa miaka mingi, hatimaye sasa serikali imefikia makubaliano na kampuni ya ujenzi ya CRJE @crje_zanzibar kurejea site na kukamilisha stand yetu ya kimataifa ya Ngangamfumuni..
Hii ni furaha sana kuona stand hii ikimapiziwa na Serikali...
Eneo lina ukubwa wa 1200 Sq Meter
Huduma zote muhimu zipo, ni jirani kabisa na stand ya SGR DODOMA.
Eneo ni la kwangu binafsi, sio dalali.
15,000,000 (Milion kumi na tano), maongezi yapo.
0719928661
Nauza TV stand set ambayo ina coffee table yake, ila cofee table yake imevunjika kioo cha juu tu, ni kukibadili tuu, kwahivyo nauza kwa bei nafuu, nitafte kama uko interested :
0684101707
Niko tabata kinyerezi.
Najaribu kuangalia Sanaa ya uchekeshaji jinsi inavyopata umaarufu, ni kitu kizuri sana ila sasa binafsi nakwazika namna ambavyo dini ama imani fulani zinavyotumika katika kuchekesha na mbaya zaidi ni kwamba dini inayotumika ni moja sijui kwa nini hawatumii ile dini nyingine kwanza ni kinyume...
Waungwana hivi zile pesa tunazolipa wakati wa kuingia kwenye vyoo hasa maeneo ya Stand zinafanya kazi gani?
Maana vyoo vingi vya Umma vina changamoto ya usafi na ukosefu wa maji bila kusahau ubovu wa miundombinu, nimeona mara kadhaa hapa JF watu wamekuwa wakiripoti kero hiyo kisha kisha wenye...
Tafadhali sana naomba mrekebishe hicho choo.
Ni aibu sana kuwa ja choo kama hicho.
Nilijuta kuingia aisee. Ni choo cha shimo na mmeweka sink. Sink limevunjika na choo ni kimejaa so mzigo wote unaonekana.
Cha ajabu ni kuwa mnapokea hela na kuruhusu watu kuingia.
Nilijuta kuingia mle ndani na...
Nazungumzia hawa wapiga debe wa stand zilizo busy kama hii ya Magufuli. Hawa jamaa usiku na mchana wapo tu hapo stand,huwa wanapata muda wa kulala kweli?
Hello! It's lennie here ,
Stand with amal ni complain iliyoanzishwa na kiredio huko Instagram kwaajili ya kupata 100 million zitakazotumika kumtibia mtoto amali nchini India,
Mtoto amal anasumbuliwa na ini na at least wanahitajika watu 10000 watakao changia buku tu ili kuipata 100 million...
Wanabodi,
Wakati tukisubiri salaam za pongezi za mihimili kwa rais mpya wa TLS, sio vibaya tujikumbushe kauli hii ya Rais Samia atafanya kazi na TLS ya aina agani!
https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=LtHTK8wfeAXMAtun
Hizi ni kama salaam kwa rais mpya wa TLS, Wakili Boniphase Mwabukusi .
Swali nI is...
Kulikuwa na haja gani kujenga stand ya gharama kiasi kile pale Mwenge, Kinondoni-DSM halafu hakuna cha maana kinachoendelea zaidi ya gari mbili tatu zinazopakia abiria?...
Baada ya Serikali kupitia pesa za walipa kodi kuweza kujenga stand kubwa ya mabus ya magufuli mbezi mwisho, na pia Serikali tumehamua kwa makusudi shughuli zote za mabus na abiria kuruhusu zifanyike Urafiki/shekilango, ifike hatua sasa tubadilishe matumizi ya Stand ya Bus na iwe Soko, eneo la...
Bado changamoto nyingi tulizonazo zinasababishwa na watawala na serikali zetu za kiafrika. Kwa Akili ya kawaida na viongozi wenye Akili timamu hawawezi kulazimisha kila Bus dogo linaloenda kwa Mattias, kongowe au mlandizi kupitia Loliondo.
Miundombinu ya kuingia njia hiyo ndio shida ilipo...
Nimepita stand ya Nanenane Dodoma leo, kuna kitu sijakielewa.
1. Ukiingia na gari, wanakulipisha ushuru wa kuingia na gari na wanakupa tiket.
2. Ukipaki gari, unapoingia kwa abiria unalipishwa, hata kama una tiket ya bus. sasa mimi kwa mfano, nimekuja na mwanafamilia nikiendesha gari yangu...
Mfano ni stand ya Mangaka iliyopo nanyumbu ni kali kuliko stand za songea, Mtwara, Lindi.. Serikali inakuwa inaonaje kuipa wilaya kipaumbele ilihali watu wengi wako mkoani na mzunguko uko mkoani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.