stand

Stand-up comedy is a comedy performance and narrative craft whereby a comedian communicates to a live audience, speaking directly to them through a microphone. The performer is commonly known as a comic, stand-up comic, comedian, comedienne, stand-up comedian, or simply a stand-up. Stand-up comedy is a dialogic monologue, or a grouping of humorous stories, jokes, and one-liners, typically called a shtick, routine, act, or set. Stand-ups may fuse props, music, magic tricks, or ventriloquism. Stand-up comedians perform quasi-autobiographical and fictionalized extensions of their offstage selves.

View More On Wikipedia.org
  1. Ubunifu: stand za viatu

  2. B

    Serikali yakubaliana na mkandarasi arudi saiti kukamilisha stendi ya Ngangamfumuni

    HONGERA MBUNGE MSOMI PRISCUS TARIMO BINGWAA Baada ya mkwamo wa miaka mingi, hatimaye sasa serikali imefikia makubaliano na kampuni ya ujenzi ya CRJE @crje_zanzibar kurejea site na kukamilisha stand yetu ya kimataifa ya Ngangamfumuni.. Hii ni furaha sana kuona stand hii ikimapiziwa na Serikali...
  3. Eneo linauzwa, jirani na stand ya SGR DODOMA

    Eneo lina ukubwa wa 1200 Sq Meter Huduma zote muhimu zipo, ni jirani kabisa na stand ya SGR DODOMA. Eneo ni la kwangu binafsi, sio dalali. 15,000,000 (Milion kumi na tano), maongezi yapo. 0719928661
  4. Stand ya Gharama ya Nyamhongolo, Mwanza hata usafi wa kuondoa Buibui mmeshindwa???

    Kodi mnakusanya lakini hata usafi wa kuondoa buibui mmeshindwa??
  5. Tv stand set used inauzwa

    Nauza TV stand set ambayo ina coffee table yake, ila cofee table yake imevunjika kioo cha juu tu, ni kukibadili tuu, kwahivyo nauza kwa bei nafuu, nitafte kama uko interested : 0684101707 Niko tabata kinyerezi.
  6. Stand up comedians hamuwezi kuchekesha bila kutania dini/imani za watu?

    Najaribu kuangalia Sanaa ya uchekeshaji jinsi inavyopata umaarufu, ni kitu kizuri sana ila sasa binafsi nakwazika namna ambavyo dini ama imani fulani zinavyotumika katika kuchekesha na mbaya zaidi ni kwamba dini inayotumika ni moja sijui kwa nini hawatumii ile dini nyingine kwanza ni kinyume...
  7. KERO Songwe: Vyoo vya Stand ya Mabasi ya Tunduma ni vichafu sana

    Waungwana hivi zile pesa tunazolipa wakati wa kuingia kwenye vyoo hasa maeneo ya Stand zinafanya kazi gani? Maana vyoo vingi vya Umma vina changamoto ya usafi na ukosefu wa maji bila kusahau ubovu wa miundombinu, nimeona mara kadhaa hapa JF watu wamekuwa wakiripoti kero hiyo kisha kisha wenye...
  8. KERO Viongozi wa Newala rekebisheni choo cha stand ya mabasi

    Tafadhali sana naomba mrekebishe hicho choo. Ni aibu sana kuwa ja choo kama hicho. Nilijuta kuingia aisee. Ni choo cha shimo na mmeweka sink. Sink limevunjika na choo ni kimejaa so mzigo wote unaonekana. Cha ajabu ni kuwa mnapokea hela na kuruhusu watu kuingia. Nilijuta kuingia mle ndani na...
  9. K

    Hivi wapiga debe wa stand huwa wanalala muda gani?

    Nazungumzia hawa wapiga debe wa stand zilizo busy kama hii ya Magufuli. Hawa jamaa usiku na mchana wapo tu hapo stand,huwa wanapata muda wa kulala kweli?
  10. INAUZWA Nauza Stand za laptop

    Nauza Stand ya laptop ya aluminium Zimebaki 9 Bei 15,000 Temeke Dar es salaam Namba 0710-599-055
  11. Stand with amal, a humanity call.

    Hello! It's lennie here , Stand with amal ni complain iliyoanzishwa na kiredio huko Instagram kwaajili ya kupata 100 million zitakazotumika kumtibia mtoto amali nchini India, Mtoto amal anasumbuliwa na ini na at least wanahitajika watu 10000 watakao changia buku tu ili kuipata 100 million...
  12. Naomba Magari ya Wagonjwa yawe mengi kwa Mkapa Keshokutwa na Madaktari wakae Stand by Hospitali za Jirani na Kubwa Dar es Salaam

    Kwa nilichokipata tu kutoka somewhere huenda kuna wa Kuzimia kuwa Wengi au Kufa na Kuugua vibaya Keshokutwa.
  13. Tujikumbushe Kauli hii ya Rais Samia Atafanya Kazi na TLS ya Aina Gani? Hizi ni Salaam kwa Mwabu,. Swali ni is He A Bow Down Type or a Stand Firm?.

    Wanabodi, Wakati tukisubiri salaam za pongezi za mihimili kwa rais mpya wa TLS, sio vibaya tujikumbushe kauli hii ya Rais Samia atafanya kazi na TLS ya aina agani! https://youtu.be/fZ7MWhPeyko?si=LtHTK8wfeAXMAtun Hizi ni kama salaam kwa rais mpya wa TLS, Wakili Boniphase Mwabukusi . Swali nI is...
  14. Stand ya mabasi Mwenge

    Kulikuwa na haja gani kujenga stand ya gharama kiasi kile pale Mwenge, Kinondoni-DSM halafu hakuna cha maana kinachoendelea zaidi ya gari mbili tatu zinazopakia abiria?...
  15. Stand Kali za laptop zimewasili

    Chagua hapo njoo inbox mapema tuu Wale WA dar nakuletea Hadi nyumbani kwako Karibuni sana
  16. A

    KERO Mamlaka zinazokusanya ushuru stendi kuu ya mabasi ya Tabora, hazirudishi chenchi kwa wateja wake. Mteja akienda na Tzs 500 anapewa risiti ya 200

    Harudishiwi kiwango cha fedha iliobaki. Naomba manispaa ya Tabora ilitizame hili maana Kuna Dalila za kuihujumu serikali.
  17. USHAURI KWA SERIKALI YA MKOA WA DAR ES SALAAM KUHUSU KUBADILISHA MATUMIZI KWA STAND YA MABUS MAGUFULI MBEZI.

    Baada ya Serikali kupitia pesa za walipa kodi kuweza kujenga stand kubwa ya mabus ya magufuli mbezi mwisho, na pia Serikali tumehamua kwa makusudi shughuli zote za mabus na abiria kuruhusu zifanyike Urafiki/shekilango, ifike hatua sasa tubadilishe matumizi ya Stand ya Bus na iwe Soko, eneo la...
  18. Stand ya Loliondo Kibaha aibu kwa Serikali ya Mkoa wa Pwani

    Bado changamoto nyingi tulizonazo zinasababishwa na watawala na serikali zetu za kiafrika. Kwa Akili ya kawaida na viongozi wenye Akili timamu hawawezi kulazimisha kila Bus dogo linaloenda kwa Mattias, kongowe au mlandizi kupitia Loliondo. Miundombinu ya kuingia njia hiyo ndio shida ilipo...
  19. Stand ya Nanenane Dodoma ukipaki gari unapoingia kwa abiria unalipishwa, hata kama una tiketi ya basi

    Nimepita stand ya Nanenane Dodoma leo, kuna kitu sijakielewa. 1. Ukiingia na gari, wanakulipisha ushuru wa kuingia na gari na wanakupa tiket. 2. Ukipaki gari, unapoingia kwa abiria unalipishwa, hata kama una tiket ya bus. sasa mimi kwa mfano, nimekuja na mwanafamilia nikiendesha gari yangu...
  20. How come stand ya wilaya iwe nzuri kuliko ya mkoa

    Mfano ni stand ya Mangaka iliyopo nanyumbu ni kali kuliko stand za songea, Mtwara, Lindi.. Serikali inakuwa inaonaje kuipa wilaya kipaumbele ilihali watu wengi wako mkoani na mzunguko uko mkoani.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…