star times

The Sunday Star-Times is a New Zealand newspaper published each weekend in Auckland. It covers both national and international news, and is a member of the New Zealand Press Association and Newspaper Publishers Association of New Zealand. It is owned by media business Stuff Ltd, formerly the New Zealand branch of Australian media company Fairfax Media.
In 2019, the newspaper won the title of New Zealand Newspaper of the Year.

View More On Wikipedia.org
  1. KING MIDAS

    Tundu Lissu yuko ITV akihojiwa na kipindi cha Dakika 45, Star Times wamekata matangazo

    Hii ni aibu sana kwa Star times, wamekata matangazo ya ITV ili WANANCHI wasione mahojiano kati ya Tundu Lissu na ITV kwenye kipindi cha Dakika 45. Wakati huo huo tbc wao wako hewani vizuri kabisa, hivyo basi, kama kwako matangazo ya ITV yamekatwa, ingia mtandaoni kwenye platforms za ITV Tanzania
  2. SweetyCandy

    Msaada: Dishi lipi zuri kwa matumizi?

    Namzungu best yangu kanitext ananiuliza which is the best dish for me to buy so i can watch movies and other good stuff
  3. E

    Star Times wanatukera wateja wao tunaitumia Antena

    Wateja tunaotumia antenna Morogoro mbona mnapatikana kwa Bahati na kupotea
  4. GoldDhahabu

    Kati ya AZAM na STAR TIMES, ipi itakayowafaa wazee wangu kijijini?

    Si mpenzi wa mpira wala vipindi vinavyofanania mpira, n.k., labda wajukuu wake, lakini siweki kwa ajili yao ila bibi yao. Mlengwa anapendelea vipindi vya kwaya na mahubiri ya Kiswahili na "movies" zenye maudhui ya Kiafrika, hasa ya Kitanzania, lakini zinazozingatia maadili . Nilishajaribu...
  5. kimsboy

    Kwa kasi hii ya Azam Wachina wa StarTimes wajiandae kufungasha virago?

    Kwa kasi hii ya Azam wachina wa Startimes wajiandae kufungasha virago? Naona Azam media wanazidi kuja kwa kasi leo hii wamezindua minara ya bilioni 50 mikoa 21 Baada ya Dish wamekuja na vya Antenna, hawa jamaa wapo vizuri sana naona kwa sasa Wachina wa Startimes wajiandae kisaikolojia tu maana...
Back
Top Bottom