stella manyanya

Stella Martin Manyanya (born 4 August 1962) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Nyasa constituency since 2010. In October 2017, she was appointed as a Deputy Minister of Industries, Trade and Investment.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone mwamba

    Stella Manyanya, aonyesha masikitiko bungeni baada ya kuuliza swali mara tano kuhusu changamoto ya upungufu wa wodi Kituo cha Afya Kiyaga

    Mbunge wa Jimbo la Nyasa, Mhandisi Stella Manyanya, ameonesha masikitiko yake bungeni baada ya kuuliza swali mara tano kuhusu changamoto ya upungufu wa wodi katika Kituo cha Afya Kiyagara, bila serikali kuchukua hatua. Mbunge huyo ameuliza swali hilo tarehe 28 Januari 2025, katika Mkutano wa...
  2. L

    Pre GE2025 Mbunge Injinia Stella Manyanya Alala Chini kabisa kumshukuru Rais Samia kwa Miradi ya Maendeleo

    Ndugu zangu Watanzania, Mambo aliyoyafanya Rais wetu Mpendwa katika miaka hii mitatu yamekuwa ni makubwa sana na kuwa kama ndoto au miujiza kwa wananchi wengi na waheshimiwa wabunge katika Majimbo yao. Hali hii ndio imepelekea na kuchochea sana watu na wananchi mbalimbali bila kujali itikadi...
  3. saidoo25

    "Hatuangalii sura mtu tunataka umeme upatikane katika Bwawa la Mwalimu Nyerere" Mbunge Manyanya

    MBUNGE wa Jimbo la Nyasa, Injinia Stella Martin Manyanya ameweka wazi kutoridhishwa na utekelezaji wa Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Mwalimu Nyerere na kuweza wazi msimamo wake kuwa Tanzania lazima tujitambue na hatutaangalia sura ya mtu bali umeme upatikane Bwawa la Mwalimu Nyerere. "Na...
Back
Top Bottom