Stephen Julius Masele (MP) (born October 1, 1979) is a Tanzanian Diplomat, Member of Parliament, global young politician and a former Investment Banker. Masele is the current First-Vice President of the Pan-African Parliament (PAP), an organ of the African Union based in South Africa. Elected in May 2018, he oversees Administration and Human Resources of the Continental Body among others. He also presides over the Pan-African Parliamentary Alliance on Food Security and Nutrition (PAP-FSN), a joint PAP-FAO project for Africa. He has been a member of the Pan-African Parliament since 2010.
Aliyewahi kuwa Makamu wa kwanza wa Rais katika Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania
Mtu mwingine aliyechukua fomu ni Patrick...
anafaa
azzan zungu
baada
bunge
bunge la jmt
dada
dada yangu
dkt. tulia
fomu
godwin kunambi
kugombea
kura
magufuli
maslahi
maslahi ya wananchi
mbunge
mchungaji
muungano
nabii
nafasi
ndugai
stephenmasele
sugu
tamaa
tanzania
uspika wa bunge
wabunge
wananchi
wengi
yangu
Kuna tetesi kuwa aliyekuwa Makamu wa raisi wa Bunge la Pan African, Mh.Stephen Masele kuwa spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hii imekaaje wadau?
Hayati Magufuli akiwa kwenye Kampeni Shinyanga aliahidi kumpatia huyu jamaa nafasi kwa kumshawishi amuunge mkono Katambi ambaye kama isingekuwa vile sidhani kama angekuwa hapo alipo sasa.
Je, Mama yetu Samia anakumbuka alivyoahidi mtangulizi wake kuhusu huyu bwana?
Je, ndiyo mwisho wa Masele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.