Sterling is a city in Whiteside County, Illinois, United States. The population was 14,782 at the 2020 census, down from 15,370 in 2010. Formerly nicknamed "Hardware Capital of the World", the city has long been associated with manufacturing and the steel industry.
Hat-trick ya Bruno Fernandes dhidi ya Real Sociedad ni ya kwanza kwa Manchester United katika Michuano ya Ulaya tangu Marcus Rashford alivyofunga vs. RB Leipzig (2020), pia ni ya kwanza Europa League tangu Zlatan alivyofunga vs. St-Etienne (2016)
Raheem Sterling ni Mchezaji wa Kwanza wa...
Mshambuliaji wa Chelsea, Raheem inadaiwa amekataa ofa ya kwenda kucheza Soka Nchini Saudi Arabia ambapo aliahidiwa kulipwa takribani mara tatu ya kiasi anacholipwa kwa sasa.
Ikiwa angekubali ofa hiyo angeweza kuwa mmoja wa wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa zaidi katika Ligi ya 'Saudi Pro...
Mzuka wanajamvi!
Hii kasumba ya ubaguzi kwenye mpira inaonekana waziwazi.
Hata George weah alivyopewa balloon d'or miaka ya nyuma kwa kuwa mchezaji bora wa mwaka wazungu walilalamika ilikuwaje mmatumbi akapewa Tuzo hiyo kubwa kwenye mpira?
FIFA ilimnyima waziwazi Samuel Etoo hii tuzo. Etoo...
Licha ya kuwa alijiunga na klabu hiyo mwanzoni mwa msimu huu akitokea Manchester City kwa Paundi Milioni 50, Sterling (28) na kusaini mkataba wa miaka mitano, ameshindwa kuwa na uhakika katika kikosi cha kwanza.
Amefunga magoli manne katika mechi 15, hali inayoonesha Chelsea inahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.