Baada ya Steven Byabato kuupata uwaziri, aliacha kabisa kupokea simu kutoka jimboni kwake. Akaanza kufurumusha maghorofa Mwanza na kwingine, akasahau palipompatia kura. Sasa uwaziri umekwenda, na uchaguzi umekaribia. Bila shaka wapiga kura watampokea na kauli ya UbayaUbwela. Huku kuna Chief...