CONFIG.SYS is the primary configuration file for the DOS and OS/2 operating systems. It is a special ASCII text file that contains user-accessible setup or configuration directives evaluated by the operating system's DOS BIOS (typically residing in IBMBIO.COM or IO.SYS) during boot. CONFIG.SYS was introduced with DOS 2.0.
We invite reputable Class 6 and above building contractors registered with the Contractors Registration Board (CRB) to submit tenders for this project. Guidelines and further details will be provided during the mandatory site visits.
For more details, see the attached document.
Je, unataka simu bei chee?
Je, una abudget ndogo na unataka simu?
Je, unataka kufanya Top up au exchange?
Nambie una budget ngapi tukupe simu kali ya budget yako.
Exchange na Top up tunafanya!
Simu tulizonazo dukani ni;
📱Google pixel
📱aquous arrow
📱samsung
📱Iphone
📱LG
📱Sonny Xperia...
VIVO Y71 RAM 6 STORAGE 128
Moja tsh 100000
Jumla kuanzia tatu 92000 tu
Pia unaweza kuagiza china kwa bei za viwandani
Tupo kariakoo karibu dukani pia mkoani unatumiwa
Call/whatsap +255713861567
Naomba kujua maana hasa ya hii aina ya network na naitumiaje kwenye mazingira yangu?
Nina MySQL Database nataka kuiongezea ukubwa wa kuhifadhi data nikapewa ushauri nitumie hiyo SAN sasa sijaifahamu ni kwa vipi hii technology inafanya kazi!!
kupoteza data huwa ni hasara kubwa, ni heri upoteze au uibiwe laptop ama simu lakini uwe na backup
Laptop yangu ina storage mbili
A. 128 GB SSD - Hii nimeweka window, programs na documents, ina speed kubwa sana kuzidi hdd unapowasha pc, kuperuzi mafaili, kucopy files, kusoma mafaili, n.k.
B...
Mkuu The bump
Tunaomba utoe ufafanuzi wa vifuatavyo
SSD ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?
Cloud storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?
Virtual storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?
Tunaomba maelezo yaliyojitosheleza maana nimefanya km...
Nina laptop yangu ni core i5 - 7th gen, Ram ni 8 gb - ddr4, storage ni 1 TB - Hdd.
laptop yangu ina vyumba viwili vya ram, chumba kimoja kwa sasa hakifanyi kazi kwahio natumia ram moja tu yenye 8GB, zamani zilikuwa nafasi mbili jumla ya ram ilikuwa 16 gb.
nimeona speed ya pc imepungua si kama...
Wadau wa tech sijawai kukosa majibu. Kweli watu wa tech ni smart and generous.
Watu wa jukwaa la sheria tutawajadiri siku nyingine.
Sasa katika kutafuta njia ya kisasa ya kutunza movies nikahis kuna kifaa zaid ya hizi HDD ambazo zina expire na data kuharibika.
Je, kwa kifaa na si kutunza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.