💼 MHADHARA WA 6.
Habari ya leo wanaJF...
Kwenye mhadhara huu naomba kuzungumzia tabia ya wanaume wengi (wazawa) wa mikoa ya DAR ES SALAAM, LINDI, MTWARA, TANGA, PWANI na hata kule ZANZIBAR ambao kutwa wanashinda vijiweni bila kufanya kazi.
Vijana wengi wa hiyo mikoa wanashinda vijiweni siku...