studies

Latino studies is an academic discipline which studies the experience of people of Latin American ancestry in the United States. Closely related to other ethnic studies disciplines such as African-American studies, Asian American studies, and Native American studies, Latino studies critically examines the history, culture, politics, issues, sociology, spirituality (Indigenous) and experiences of Latino people. Drawing from numerous disciplines such as sociology, history, literature, political science, religious studies and gender studies, Latino studies scholars consider a variety of perspectives and employ diverse analytical tools in their work.

View More On Wikipedia.org
  1. Davidmmarista

    Somo la Business Studies litakuwa la lazima kwanzia kidato Cha kwanza hadi Cha nne

    Taarifa kutoka NECTA
  2. M

    Kwanini walimu wa economics hawajumuishwi kufundisha somo la business studies?

    Serikali ilitangaza ujio wa ajira mpya za ualimu, moja ya ajira hizo ni somo la (business studies)na linaonekana lina uhaba wa walimu ilihali kuna kuna lundo kubwa la walimu wa economics wapo mtaani na hawajiliwi kufundisha somo hilo je economics haikizi vigezo vya kufundisha somo hilo la...
  3. D

    Mwalimu wa Civic and Moral Education & Social Studies natafuta kazi. Nipo DSM

    Habari, Mimi ni mwalimu ninaefundisha Civic and Moral Education, Social Studies na Kiswahili kwa primary schools. Additionally, naweza kufundisha matumizi ya Computer. Lakini pia ninaweza kufundisha History, Civics na English kwa secondary schools. Elimu yangu ni Digrii ya Elimu (Bachelor of...
  4. M

    Tusaidiane kuhusu kozi hizi za Masters za Education

    Tusaidiane kuhusu Masters of Educational Management and Administration NA Masters of Education in Administration, Planning & Policy Studies M. Ed (APPS)
  5. Technophilic Pool

    Studies zinaonesha Tanzania Tuna jamii ya mbilikimo/ Pygmies! sasa najiuliza ni kabila gan hilo?

    Wakuu mi huwa napenda kufatilia mambo ambayo hayafuatiliwi na watu wengine. Hii jamii ya pygymies inayopatikana tanzania ni ipi? Ndugu zangu waha mnisamehe nauliza tu maana waha wengi ni wafupi sana. Ni kwa ajili ya kujifunza Mfano jamii za pygmies kwene nchi mbalimbali Rwanda na Burundu...
  6. Kv-london

    Mwalimu wa Math/ Physics and Computer Studies anahitajika

    Habar mwalimu wa SoMo la mathematics/physics na computer studies anahitajika Shule inahtaji huyo mwalimu wa level ya degree au diploma at least awe anaweza kifundisha SoMo mojawapo hapo juu +computer( compulsory) Akiwa wa kike itakuwa vizuri zaidi Shule ipo Moshi Dc Kilimanjaro kama ungependa...
  7. Chachu Ombara

    Nini dhumuni la Serikali kuanzisha tahasusi hii ya biashara ikiwa na somo la 'Islamic Knowledge'?

    Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati. Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo...
  8. G

    TCU inakwepa majukumu yake kuhusu Postgraduate Studies?

    Habari Members ! Kumekuwa na changamoto ya Baadhi ya vyuo vikuu/Taasisi za elimu kuendesha programu zao za Uzamili(Masters) pasipo Uwazi uliopo baina ya Vyuo vikuu vya Tanzania/baadhi Taasisi husika za elimu na TCU umekaa kimya. 1. Baadhi ya vyuo vikuu/Taasisi za elimu kuendesha masters...
  9. J

    Mtu aliyesomea bachelor of library information studies anaweza fanya kazi gani mbali na ukutubi

    Kaka yangu ananilazimisha nikasome hiyo kozi lakini mimi nahisi siielewi.
  10. S

    Je, mhitimu wa kozi ya “Education with Religious Studies” anaweza kufanya kazi gani?

    Ufafanuzi
Back
Top Bottom