Latino studies is an academic discipline which studies the experience of people of Latin American ancestry in the United States. Closely related to other ethnic studies disciplines such as African-American studies, Asian American studies, and Native American studies, Latino studies critically examines the history, culture, politics, issues, sociology, spirituality (Indigenous) and experiences of Latino people. Drawing from numerous disciplines such as sociology, history, literature, political science, religious studies and gender studies, Latino studies scholars consider a variety of perspectives and employ diverse analytical tools in their work.
Serikali ilitangaza ujio wa ajira mpya za ualimu, moja ya ajira hizo ni somo la (business studies)na linaonekana lina uhaba wa walimu ilihali kuna kuna lundo kubwa la walimu wa economics wapo mtaani na hawajiliwi kufundisha somo hilo je economics haikizi vigezo vya kufundisha somo hilo la...
Habari,
Mimi ni mwalimu ninaefundisha Civic and Moral Education, Social Studies na Kiswahili kwa primary schools. Additionally, naweza kufundisha matumizi ya Computer.
Lakini pia ninaweza kufundisha History, Civics na English kwa secondary schools.
Elimu yangu ni Digrii ya Elimu (Bachelor of...
Tusaidiane kuhusu Masters of Educational Management and Administration NA Masters of Education in Administration, Planning & Policy Studies M. Ed (APPS)
Wakuu mi huwa napenda kufatilia mambo ambayo hayafuatiliwi na watu wengine.
Hii jamii ya pygymies inayopatikana tanzania ni ipi?
Ndugu zangu waha mnisamehe nauliza tu maana waha wengi ni wafupi sana.
Ni kwa ajili ya kujifunza
Mfano jamii za pygmies kwene nchi mbalimbali
Rwanda na Burundu...
Habar mwalimu wa SoMo la mathematics/physics na computer studies anahitajika
Shule inahtaji huyo mwalimu wa level ya degree au diploma at least awe anaweza kifundisha SoMo mojawapo hapo juu +computer( compulsory)
Akiwa wa kike itakuwa vizuri zaidi
Shule ipo Moshi Dc Kilimanjaro kama ungependa...
Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati.
Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo...
Habari Members !
Kumekuwa na changamoto ya Baadhi ya vyuo vikuu/Taasisi za elimu kuendesha programu zao za Uzamili(Masters) pasipo Uwazi uliopo baina ya Vyuo vikuu vya Tanzania/baadhi Taasisi husika za elimu na TCU umekaa kimya.
1. Baadhi ya vyuo vikuu/Taasisi za elimu kuendesha masters...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.