studio

A studio is an artist or worker's workroom. This can be for the purpose of acting, architecture, painting, pottery (ceramics), sculpture, origami, woodworking, scrapbooking, photography, graphic design, filmmaking, animation, industrial design, radio or television production broadcasting or the making of music. The term is also used for the workroom of dancers, often specified to dance studio.
The word studio is derived from the Italian: studio, from Latin: studium, from studere, meaning to study or zeal.
The French term for studio, atelier, in addition to designating an artist's studio is used to characterize the studio of a fashion designer. Atelier also has the connotation of being the home of an alchemist or wizard.
Studio is also a metonym for the group of people who work within a particular studio.

View More On Wikipedia.org
  1. nipo online

    kwa uwekezaji huu nlioufanya, Je niendelee na ajira nilipoajiriwa?

    kama kichwa cha habari hapo juu, nimekomaa toka mwaka jana nimebahatika kuunda izo kitu na mwote humo wako watu wanapiga kazi, salon ya kiume mwenyewe pia ni fundi kunyoa jioni na wikiend nakaa kupiga kazi, duka ni la mangi tu la kawaida, je no sahihi au niachane na kufundisha nije kusimamia...
  2. magnifico

    Jinsi ya kutengeza beat simple ya Trap kwenye fl studio

    Habari wakuu. Ningependa kushare nanyi ujuzi wangu mdogo katika kutengeneza beat ya trap. Kwa watakaohitaji FLP yake niunge mkono kwa kusubscribe na niandikie tu katika email hii nami nitakupatia bila wasiwasi. sgbsupertech@gmail.com https://youtu.be/FAs5ySOAN5c
  3. African businesses

    NAUZA VIFAA VYA STUDIO YA KUPIGIA PICHA (PHOTOSHOOT)

    Wadau kama heading inavyojieleza hapo juu nina vifaa vyangu kwa ajili ya kupiga picha indoor na viuza kwa bei kitonga Sana Kuna studio background yenye vitambaa vinne ambavyo ni nyeusi, nyeupe, kijani na kijivu. Soft box mbili, miavuli minne na reflector Taa NNE na fleme zake, pia vitambaa...
  4. Mad Max

    "Vision X Tint Studio" walikua ndio Authorized Dealer wa 3M Tint kwa Tanzania. Jamaa walikua wanaweka tint kali na quality sana.

    Gari kua na tinted ni jambo la msingi sana. Inaongeza privacy na usalama, inapunguza joto (heat na UV rays) na kuongeza "muonekano" mzuri. Sasa hawa wawekaji wa Instagram wanatuwekea sawa tint ila quality mbovu sana na ndio maana nyingi baada ya miaka 2 zinabadirika rangi kama sio kubanduka...
  5. W

    Nikiwa kama mzazi namuunga mkono Inspector Haroun (Babu) kumtembezea kipigo mtoto wake baada ya kumkuta studio

    Inspector Haroun (Babu) amemtembezea kipigo mtoto wake akidai kwamba mtoto amempeleka chuo ila anashangaa kumkuta studio Yupo sahihi kwasababu uchungu wapesa anayolipa chuo tunaujua tunaolipia ada. Mzazi au mlezi unaweza kutimiza wajibu mtoto aende kusoma shule za serikali bure lakini utaanza...
  6. mboni3

    Ni wapi kuna Yoga Studio?

    Hello Wadau wa Jamii Forum, Natumai mko poa, ningependa kufahamu kwa yeyote anayefahamu ni sehemu ambayo naweza shiriki YOGA. So far nimepata moja amabayo iko Haile Selassie. Nahitaji machaguo kadhaa kabla sijafanya maamuzi kwa yeyote mwenye kufahamu ama mwenye uzoefu na YOGA tafadhali...
  7. eric mwakapango

    Biashara ya studio

    Mimi ni mkazi wa Dodoma mjini,nina camera cannon mark 3 nina kamtaji kadogo ninataka kufungua kabiashara kadogo ka studio. Ni vifaa vipi vichache vya muhimu naweza kuanza navyo au kama kuna mtu anauza used naweza kuelekezwa kwa ajili ya kubana bajeti. Cont. Call/whatsapp +255 743 796 975
  8. sinza pazuri

    Ukweli usemwe: Israel Mbonyi ni msanii wa studio

    Najua huyu mnyarwanda Israel Mbonyi anapendwa sana na mashabiki wake na kama mnavyojua mapenzi upofu. Ila sio mzuri kwenye kuimba live ameshindwa kabisa kuonesha uwezo kwenye show yake mlimani city. Huwezi mfananisha wa waimba gospel kama Paul Clement . Mbonyi ni aina ya wasanii wanaotoa...
  9. Waufukweni

    Wanachuo kibao walala nje ya studio za S2kizzy ili warekodi wimbo

    Hakuna ubishi kuwa S2kizzy aka Zombie ndiye producer mkali sana hivi sasa na amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuachia hit songs tu na kujijengea heshima ndani na nje ya Bongo. Hivi karibuni S2Kizzy alitangaza ku-record wimbo bure kwa wanafunzi wa chuo, na habari hii ilivutia umati mkubwa. Jana...
  10. chris emex

    INAUZWA Harman Kardon Onyx Studio 6 Wireless Bluetooth Speaker 190,000

    Harman Kardon Onyx Studio 6 Wireless Bluetooth Speaker - IPX7 Waterproof Extra Bass Sound System sauti na mdundo mtamu Call 0628 880 380 190,000tsh tu.
  11. 0

    Kinanda Cha studio kinauzwa

    Habari wadada na wakaka. Nauza kinanda Cha studio ni kama kipya kinatumika kutengenezea muziki yaani MIDI Controller. Kinatumia sauti za program ya computer mfano cubase nk kupata sautii za aina mbalombali Bei ya punguzi sh 480,000. Kikiwa dukani vinauzwa sh 800,000 kwa hiyo nimefanya bei nzuri...
  12. ukwaju_wa_ kitambo

    Uhusiano wa producers na studio wanazofanya kazi

    PRODUCERS NA STUDIO.. 1. Kumthamini Producer Master J na Hermy B waliamua kujiweka kando kiasi na kuleta maproducer wengine kusimamia studio hizo. Master Jay alimchukua Marco Chali kutoka Kama Kawa Records takriban miaka 7 iliyopita, huku Hermy B akimtoa Pancho Latino kutoka Dhahabu Records na...
  13. itakiamo

    Kaomba kufundishwa program ya FL studio

    Habari wadau, Naomba msaada wa kufundishwa program ya FL studio, Sina PC. Nipo Dar. Kwa aliye tayari karibu PM Asanteni
  14. Kanali_

    Jipatie vifaa vya studio (audio recording) kwa bei nafuu

    SOLD
  15. jikuTech

    Android networking in Android Studio

    SOMO LETU LA LEO LINA TOKA KWENYE KITABU CHANGU CHA ANDROID NETWORKING Lengo la kitabu hiki ambacho ni maalumu ni kujifunza kwa namna gani unaweza kuweka taarifa kwenye web server database kwa kutumia Android Studio na kuzi view kwenye mobile app . Faida ya Application hii ni kwamba mtu...
  16. Abdclassic

    Studio Session

    Kwanini tusitengeneze uzi maalumu kwaajili yawaimbaji wanaoanza kujifunza uandishi, melodies?
  17. chiembe

    Haji Manara aonekana studio za Master Jay, anatoa wimbo kumjibu Dulla Makabila

    Haji Manara ameonekana mitaa ya MJ records akiwa katika tafakari kubwa, akiingia studio na kutoka. Tetesi zinasema anajiandaa kutoa wimbo kumjibu Dulla Makabila. Habari zinasema kwamba ubishi mkubwa ni kuhusu sauti na kutembea na biti. Hivyo kila mara alikuwa akiondolewa studio aende nje...
  18. 2 of Amerikaz most wanted

    This is how Wiz Khalifa wakes people up in the studio

    Wiz khalifa
  19. Mhaya

    Dar: Studio za Mjini FM zawaka moto huko Masaki

    Studio za Mjini FM zimeteketea kwa moto asubuhi ya leo Januari 12, 2024 huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakijajulikana. Video inamuonesha Dorah ambaye ni mmoja wa Watangazaji wa Mjini FM akiwa haamini kilichotokea leo Januari 12 2024. Inspekta Kulwa Nzelekela kutoka jeshi ka uokoaji na...
  20. JanguKamaJangu

    Ecuador: Watu wenye silaha wavamia studio ya TV matangazo yakiwa ‘LIVE’ na kuwateka Watangazaji

    Wanaume waliojifunika sura zao wamevamua Studio ya TV (TC Television) ya Umma katika Mji wa Guayaquil wakiwa na silaha za moto na marungu wakati wa matangazo yakiwa mubashara kisha kuwateka Wafanyakazi wa kituo hicho kwa muda. Imeelezwa hakuna mtu aliyeuawa katika tukio hilo ambalo lilizimwa na...
Back
Top Bottom