The Subaru Forester (Japanese: スバル•フォレスター Subaru Foresutā) is a compact crossover SUV (sport utility vehicle) that's been manufactured since 1997 by Subaru. Available in Japan from 1997, the Forester shares its platform with the Impreza. The current Forester has 5 trims, standard, premium, sport, limited, and touring. The touring has features like brown leather seats, heated seats, navigation, and panoramic sunroof. Also it has all wheel drive standard on every model.
Wapendwa Kheri ya mwaka Mpya.
Naomba msaada Kwa yeyote anaeweza kunisaidia kupata plugs original za Subaru Forester XT ya 2009. Nilipatwa na changamoto iliyopelekea kutoa plugs za kuja na gari ! Niko mbeya mjini
Nilijichanganya 2022 nikanunua 2009 Subaru forester.
Siku nimepeleka service naambiwa eti inatumia filter 2.
Huku Coil Tsh 750,000 nikamuuzia boya flani toka Kanda ya Ziwa.
"Wakubwa habari ya muda huu,Mimi binafsi naomba kupata elimu zaidi kuhusu gari aina ya SUBARU FORESTER TA SG5 2006/2008", hasa uzuri,na changamoto zake
Mazda CX-5 zinaelekea kuwa nyingi kama harrier na pia forster nayo the same .
Lakini Mazda CX-5 ina masharti kama mganga sijui utoe dpf mara uendeshe km kazaa kutoa huo Moshi .nk
Kwangu Mimi hizi ni gari mbadala ambazo zinafanana bei na matunzo ya Mazda na forester
1. AUDI Q5
2.Volkswagen...
HII NDIYO FORESTER NEW MODEL (4th GENERATION)🔥🔥
FORESTER ni gari ambayo imepata umaarufu wake kutokana na Ufanisi wa Utendaji wake ambao ni thabiti hata katika barabara zenye changamoto.
Katika Toleo la NNE (SJ) Kuna maboresho ambayo yamefanyika.
Hapa tunazungumzia matoleo ambayo uzalishwaji...
Wakuu nimejipata nataka nichukue usafiri kati ya Nissan xtrail ya 2012 au 2010 Subaru Forester (isio na turbo).
Msaada wa uimara, spea, mafuta, re-sale value
Habari wanajamvi,
Nikiwa na passion, uzoefu kiasi ktk mchakato wa kuagiza magari Japan hadi mkononi. Nimedhamiria kama fursa kuleta wazo hapa namna navyoweza kuwasaidia wale wahitaji wa kuagiza magari kutoka nje..ambao pengine wanahitaji usaidizi. Mchakato uko hivi;
1)Tuwasiliane tujadili gari...
Nauza gari yangu aina ya Subaru Forester(Non turbo) ya mwaka 2011.
Bei 15m.
Gari ipo Dar es Salaam, haina tatizo lolote.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane: 0752357722
Price/Bei 15.7mls
Cont:
Bmw 3 Series ECY
Year 2008
Cc 1990
Low Km 99000
Full Options✅
Sports & New Tyres
Clean Condition
0688591584
Navunja Na Gari yoyote°°
Location Dar es salaam
Habari wakuu,
Utamshauri mtu anunue gari ipi kati ya gari hizo mbili kwa kuzingatia vigezo vya mazingira ya miundombinu ya barabara zetu, hali ya kiuchumi (kipato cha kati) na upatikanaji wa mafundi wa kueleweka na vipuri.
Subaru forester
Volkswagen tiguan
Wakuu nakuja humu kuomba wataalam kunipa ushauri Nina Subaru Forester XS 2.5 ya 2009 nataka kuiuza nihamie Land rover Discovery 3 ya 2005. Je wenye uzoefu wa Discovery 3 Hali ipoje Kwa spea, mafundi?
alphard
athlete
bmw
crown
dualis
inauzwa
ist
kali
nauza
new
nissan
nissan dualis
noah
premio
raum
sale
sana
series
shape
subarusubaruforester
toyota
toyota wish
wish