The Subaru Forester (Japanese: スバル•フォレスター Subaru Foresutā) is a compact crossover SUV (sport utility vehicle) that's been manufactured since 1997 by Subaru. Available in Japan from 1997, the Forester shares its platform with the Impreza. The current Forester has 5 trims, standard, premium, sport, limited, and touring. The touring has features like brown leather seats, heated seats, navigation, and panoramic sunroof. Also it has all wheel drive standard on every model.
Nimejichanga Sasa nataka kununua gari ili kujipongeza. Je gari gani ya kununua?
Kati ya Benz E200 ya kuanzia 2009 Vs Subaru Forester XS ya kuanzia 2008.
Kati ya gari hizi mbili ambazo naona kwasasa zinanunuliwa sana kwenye miji mikubwa zikiwa na namba E, ipi inafaa zaidi kwa matumizi ya kawaida ya mjini.
Zote ni 2.0 AT petrol za mwaka 2013/14 na zote ni all wheel drive/4WD.
Wenye uzoefu na hizi gari msaada.
Budget yake ni kuanzia 43m mpaka 50m...
Wakuu habari za Jumapili!?
Kuna kahela nimepata kidogo nataka kuagiza gari. Baada ya kufikiria kwa muda mrefu nimetamani gari mbili tu; Subaru Forester au Honda Crossroad.
Wataalam wa magari nichukue lipi hapa? Ushauri wenu wa maana sana kwangu.
Asanteni.
PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako. Pitia ujifunze zaidi
bmw
discovery
dualis
fuso
isis
mark x
mazda
nissan
nissan dualis
note
offa
pdf
raum
scania
series
spacio
subarusubaruforester
suzuki
toyota
ubaya
ufupi
ushauri
volvo
wapenzi
✍🏾Kwa jina Naitwa CECE motors. Najishughulisha na Uagizaji wa Magari mapya aina zote na nchi tofauti tofauti kama Japan,UK,Dubai, Singapore, e.t.c
👉🏼Pia Nafanya Clearing and Forward Agent Kwa Mizigo yoyote uliyoagiza/Utakayoagiza kama vile Magari,Makontena, E.t.c
👉🏼 Bila kusahau tunatoa Mikopo...
ONDOKA NA GARI KWA BEI NAFUU SANA KARIBU WHATSAPP KWA MAELEZO ZAIDI
1.TOYOTA SPACIO
ENGINE 1zz
Engine cc 1970
Full Ac
Full Document
Bei Mil 8.8
2.RAUM NEW MODEL 2004
REG #DE
Low Milleages.
Engine 1nz
CC 1490
Full Ac
Full Document
All duties and tax payed
Bei Mil 8.8
3.TOYOTA IST 2004
REG #DR...
Wakuu nataman kujua kati ya hizi gari mbili ni gari ipi ya kuishi nayo in terms of
.perfomance
.durability
.reliability
.efficienty in terms of wese
na mazagazaga mengine
ila kwenye price naona kam hazitofautiani sana
KARIBU AUTOMASI UAGIZE NASI GARI LENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU
**************
♻️ High Quality , Reliable, and Speed ♻️
***************
🔅VEHICLE DESCRIPTION
Make : TOYOTA
Model ...
bank of tanzania
bmw
canter
dodoma jiji
dualis
gari
hiace
honda
japan
kuagiza
kuagiza gari
landcruiser
mitsubishi
mkopo
music producers
nissan
nissan dualis
premio
series
starlet
subarusubaruforester
toyota
toyota premio
van
vitz
Wajuvi wa mambo,
Nipeni udambu juu ya hizo gari 2, okoeni ndoa yangu maana shemeji yenu akizimikiwa gari njiani atadai talaka. akikwama topeni ndio kabisa. kwa ufupi wife hapendi vigari sampuri ya ist, impreza nk, anasema anataka gari ya juu juu.
Nimeangalia angalia mitandaoni kulingana na...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU GARI HII
Wakuu rafiki yangu mmoja yupo interested na hizi gari aina ya Subaru Forester lakini kabla hajaingiza maamuzi mzima mzima alitaka kujua yote ya husuyo hizi aina za haya magari.
Stability zake, upatikanaji wa spare na mengine yote ambayo...