Tunakaribia Siku ya 4 hatuna huduma nzuri ya Intaneti na cha ajabu ni kwamba hadi leo Watoa Huduma wanatoa taarifa tu badala ya kuzungumzia kutulipa fidia ya hasara waliyotusababishia pamoja na usumbufu tunaopata kwa kukosa huduma kwa mujibu wa makubaliano kati ya Mtoa Huduma na Mteja
Pia...