Habari zenu MMU,
Mimi ni kijana mwenzenu leo acha nifunguke nipate msaada wa mawazo.
Mimi nilianza nyeto mwaka 2014 baada ya kufundishwa na mtoto wa jirani yetu. Tokea hapo nimepiga nyeto sana wastani mara tatu kwa wiki!
Sasa katika pita pita zangu mitandaoni nikaona bandiko kuwa nyetu...
Kwanza niwahase "tutafute hela" tuache kuuchochea umaskini, maake pasipo pesa, story za kahawa ndipo zinapoanzia! NoFap ni mchezo kama ilivyo michezo mingine kama Riadha, Mpira wa miguu ama mieleka! Sasa acha kusema "Ninafanya hivi ili kutokomeza tabia ya kupiga punyeto" Unafeli pakubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.